Safari ya matumaini kuanza kesho

Safari ya matumaini kuanza kesho

kombo mzalendo

Senior Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
118
Reaction score
11
Aliyewahi kua waziri mkuu wa tanzania mh LOWASA apanga kesho kukutana na wanafunzi wa vyuo vya eli
mu ya juu JIJINI ARUSHA ili kuzungumza nao .ikiwa ni moja ya hatua ya kuanza safari yake ya matumaini.HATA HIVYO LOWASA ATAZINDUA RASMI SAFARI YAKE HIYO SIKU YA JUMAMOS KWA KUWAHUTUBIA WANANCHI WA JIJI LA ARUSHA KATIKA UWANJA WA SHEKH AMR ABEID.
 
Safari hiyo ni yanamna gani? Naomba nifafanuliwe vizuri! Isije kua safari yakuuza nchi! Maana wameuza wanyama pori kama vile twiga!
 
Aliyewahi kua waziri mkuu wa tanzania mh LOWASA apanga kesho kukutana na wanafunzi wa vyuo vya eli
mu ya juu JIJINI ARUSHA ili kuzungumza nao .ikiwa ni moja ya hatua ya kuanza safari yake ya matumaini.HATA HIVYO LOWASA ATAZINDUA RASMI SAFARI YAKE HIYO SIKU YA JUMAMOS KWA KUWAHUTUBIA WANANCHI WA JIJI LA ARUSHA KATIKA UWANJA WA SHEKH AMR ABEID.
Safari ya nini mkuu. Kwani siku za nyuma alipokuwa ana safari alikuwa anawatangazia watu? Iweje leo atangaze safari zake kwani zinatusaidia nini sisi walala hoi?
 
Safari hiyo ni yanamna gani? Naomba nifafanuliwe vizuri! Isije kua safari yakuuza nchi! Maana wameuza wanyama pori kama vile twiga!

We mwemyewe ulisha uzwa au haukumbuku? Ili ujikomboe unatakiwa ulipe 867000..
Ila safari hii ya bwana Mkuu nisafari ya matumaini safari ya kivita, maadui walio achwa na nyerere maadui hawa wako 3 na Lazima wapotezwe na hao atawataja mh E L rais mtarajiwa.
 
Tanzania inapita katika wakati mgumu kupita nyakati zote, Sala na dua zangu tuvuke huu uchaguzi kwa amani maana naona wazi mafahali watakavyoumiza nyasi.
 
Hakuna safari ya matumaini bali safari ya kurudi nyuma hatua nyingi sana. Mwalimu na busara zake zote na uelewa wake wote inamaana alikua kipofu hakuona biashara ikulu kwa miaka 23 halafu wengine wananunua kuingia ikulu kwa mabilioni ili wakauze nini? Marafiki wanaokuchangia mabilioni wanatarajia uwafanyie nini ukiingia ikulu? Tujibu hili swali la msingi kwanza
 
Back
Top Bottom