mahwahwajr
Member
- Jun 10, 2010
- 18
- 22
Ndugu Wanabodi,
Leo mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dr John Pombe Joseph Magufuli anazindua kampeni zake. Hatua hii ni muhimu katika mchakato huu. Vyama vingine vitafuatia.
Anapozindua kampeni zake, ni muhimu Watanzania tukaendelea kumfahamu ni nani...kama ambavyo tunapaswa kuwafahamu pia wagombea wa vyama vingine. Picha zifuatazo zinaeleza anakotoka Dr Magufuli.
Picha hii iliyopigwa mwaka 1970 inamuonyesha Babu yake, mzee Marco Bulogwa Nyahinga na Bibi yake, Anastazia Nh'uhi Taabu. Picha (family album).
Pia gazeti la leo la MZALENDO limetoa kwa kirefu historia (the story of Mr John Pombe Magufuli).
Picha hizi hapa chini pia zinaonyesha "safari" ya kimaisha ya Dr Magufuli.
View attachment 279507
Tumfahamu!!
Leo mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dr John Pombe Joseph Magufuli anazindua kampeni zake. Hatua hii ni muhimu katika mchakato huu. Vyama vingine vitafuatia.
Anapozindua kampeni zake, ni muhimu Watanzania tukaendelea kumfahamu ni nani...kama ambavyo tunapaswa kuwafahamu pia wagombea wa vyama vingine. Picha zifuatazo zinaeleza anakotoka Dr Magufuli.
Picha hii iliyopigwa mwaka 1970 inamuonyesha Babu yake, mzee Marco Bulogwa Nyahinga na Bibi yake, Anastazia Nh'uhi Taabu. Picha (family album).
Pia gazeti la leo la MZALENDO limetoa kwa kirefu historia (the story of Mr John Pombe Magufuli).
Picha hizi hapa chini pia zinaonyesha "safari" ya kimaisha ya Dr Magufuli.
View attachment 279507
Tumfahamu!!