Sadnews: Mpanzu hapokei simu za Simba, Hajulikani alipo

Sadnews: Mpanzu hapokei simu za Simba, Hajulikani alipo

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
22,854
Reaction score
32,657
"Taarifa za Kuaminika Kutoka Kambi ya Simba sports Ismailia Misri ni Kwamba Elie Mpanzu KIBISAWALA bado hajafika na hapokei simu za Viongozi..

Kundi la Pili Wachezaji ambao hawapo Kwenye Michuano ya CHAN wameripoti jana bila Jina la Elie Mpanzu na Kuzua wasi wasi na hofu Kubwa kwa Viongozi

Viongozi pia wamejaribu Kumfikia Elie Mpanzu Kupitia Meneja wake cha Kushangaza bado wamekosa Ushirikiano Kabisa.

Viongozi wameweka Mpaka Mwisho Leo Elie Mpanzu Kuwasili Kambini Ismailia Kabla hawajachukua hatua za Juu zaidi za Kinidhamu.

Hii sio Good Morning Kwa Lunyasi".

Ameandika Mchambuzi Wilson Oruma kupitia ukurasa wake wa Instagram

#scopeboii #ScopeMedia
1754293487689.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Haya waliendekeza wao. Reaction yao kwenye sakata la Kibu Denis msim jana, ameenda ulaya kwenye safari zake binafsi alaf anarudi anapokelewa kifalume, ndo inaota mzizi.
Hapana mkuu.... mpanzu kuna timu amepata so kipengele Cha ku terminate mkataba ni 350M ....but Simba wamekaza

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kama anaenda ,nae mwacheni aende. Wachezaji kama hawa ndio wanaipa Simba usugu wa kutoumia. Alianza Chama, akafuata Tshabalala watuwameshamsahau hata msimu mpya haujaanza, na huyu nae kama vipi asepe tu
Tshabalala hajasahaulika kwasasa hakuna mechi yeyote ya mashindano waliocheza Simba kiasi kwamba ionekane kasahaulika. Ngoja mechi zianze ndio utapata jibu kuwa watu wamemsahau ama anakumbukwa
 
"Taarifa za Kuaminika Kutoka Kambi ya Simba sports Ismailia Misri ni Kwamba Elie Mpanzu KIBISAWALA bado hajafika na hapokei simu za Viongozi..

Kundi la Pili Wachezaji ambao hawapo Kwenye Michuano ya CHAN wameripoti jana bila Jina la Elie Mpanzu na Kuzua wasi wasi na hofu Kubwa kwa Viongozi

Viongozi pia wamejaribu Kumfikia Elie Mpanzu Kupitia Meneja wake cha Kushangaza bado wamekosa Ushirikiano Kabisa.

Viongozi wameweka Mpaka Mwisho Leo Elie Mpanzu Kuwasili Kambini Ismailia Kabla hawajachukua hatua za Juu zaidi za Kinidhamu.

Hii sio Good Morning Kwa Lunyasi".

Ameandika Mchambuzi Wilson Oruma kupitia ukurasa wake wa Instagram

#scopeboii #ScopeMediaView attachment 3430735

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Aroooo....
 
"Taarifa za Kuaminika Kutoka Kambi ya Simba sports Ismailia Misri ni Kwamba Elie Mpanzu KIBISAWALA bado hajafika na hapokei simu za Viongozi..

Kundi la Pili Wachezaji ambao hawapo Kwenye Michuano ya CHAN wameripoti jana bila Jina la Elie Mpanzu na Kuzua wasi wasi na hofu Kubwa kwa Viongozi

Viongozi pia wamejaribu Kumfikia Elie Mpanzu Kupitia Meneja wake cha Kushangaza bado wamekosa Ushirikiano Kabisa.

Viongozi wameweka Mpaka Mwisho Leo Elie Mpanzu Kuwasili Kambini Ismailia Kabla hawajachukua hatua za Juu zaidi za Kinidhamu.

Hii sio Good Morning Kwa Lunyasi".

Ameandika Mchambuzi Wilson Oruma kupitia ukurasa wake wa Instagram

#scopeboii #ScopeMediaView attachment 3430735

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hizi ni trick tu zinafanyika, kwa wageni wa haya mambo ndio wataona serious. Hawa wanafanya hivi ili baadae waje ku-make headlines kuwa mwamba bado yupo na wanatamba nae
 
Viongozi wa Simba wasifanye drama, kama Mpanzu haitaki Simba wamalizane na wakala wake tupate chetu tusonge mbele hakuna mkataba usiovunjika mpira si utumwa.
Kwa kile kiwango chake.... lazima simba wamng'ang'anie

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom