karakana
Member
- Apr 10, 2012
- 13
- 2
Mwanaume hahitaji Mwanamke mwenye Sura nzuri kama malikia wa nyuki na Makalio yanayoweweseka akitembea kama mshumaa uliopulizwa na upepo wa bahari ya Hindi,Hizi ni sifa temporary kwa ajili ya tamaa ya macho na ngono,THERE IS LIFE BEYOND ATTRACTION AND SEX
Ndo maana utashangaa Mtu amedate mademu 20 wakali kinoma wenye wezere kama wamejiumba lakini anaoa demu wa 'kawaidaaaa' mwenye sura kama amepiga chafya isiyotarajiwa halafu unaanza kujiuliza huyu Kaka amekosa nini,Hajakosa kitu,amevumbua dhahabu.Mwanaume anahitaji Mwanamke MSAIDIZI,MSHAURI,MBEMBELEZAJI,MTIA MOYO,MWENYE MAONO,Sio Mwanamke anajua Club zote mpya ilizofunguliwa Wiki hii lakini hana taarifa kama kuna Plot zinauzwa Madale ili amshauri mmewe ku-acquire Land.
Utashangaa na mkalio wako kama dansa wa Baikoko umetemwa na anaolewa bishosti hajawahi kuvaa kipedo tangu azaliwe,anavaa charanga.
Kama unadhani Shepu ni mali nenda kaombe kazi Twanga Pepeta,Tutaendelea kuoa wanaojielewa kwa sababu they are smart na wanajiheshimu na wewe utaendelea kualikwa kwenye harusi kama Mtazamaji kwa sababu HUOLEKI
Ndo maana utashangaa Mtu amedate mademu 20 wakali kinoma wenye wezere kama wamejiumba lakini anaoa demu wa 'kawaidaaaa' mwenye sura kama amepiga chafya isiyotarajiwa halafu unaanza kujiuliza huyu Kaka amekosa nini,Hajakosa kitu,amevumbua dhahabu.Mwanaume anahitaji Mwanamke MSAIDIZI,MSHAURI,MBEMBELEZAJI,MTIA MOYO,MWENYE MAONO,Sio Mwanamke anajua Club zote mpya ilizofunguliwa Wiki hii lakini hana taarifa kama kuna Plot zinauzwa Madale ili amshauri mmewe ku-acquire Land.
Utashangaa na mkalio wako kama dansa wa Baikoko umetemwa na anaolewa bishosti hajawahi kuvaa kipedo tangu azaliwe,anavaa charanga.
Kama unadhani Shepu ni mali nenda kaombe kazi Twanga Pepeta,Tutaendelea kuoa wanaojielewa kwa sababu they are smart na wanajiheshimu na wewe utaendelea kualikwa kwenye harusi kama Mtazamaji kwa sababu HUOLEKI