Sabuni za Kigoma zinapatikana

Sabuni za Kigoma zinapatikana

jimmyfoxxgongo

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2013
Posts
5,352
Reaction score
9,362
Habari wadau

Sabuni za kigoma zmetengenezwa kwa mawese

Ni nzuri hazikati povu kwenye maji ya chumvi


Zinapatikana kwa bei nafuu

bei ni kuanzia ;
1800
1700
1600
Kwa mche


Ukiwa interested ni PM
ImageUploadedByJamiiForums1459149468.844398.jpg
 
Unauzaje kwa jumla yaani mtu akihitaji box zima? Unapatikana wapi? Mimi nipo huku madongokwinama, nitapataje?
 
Ni vema ungeweka namba ya simu na sehemu ambayo mtu akihitaji anaweza kukupata
 
Unauzaje kwa jumla yaani mtu akihitaji box zima? Unapatikana wapi? Mimi nipo huku madongokwinama, nitapataje?
Kwa jumla unazipata bei yake inakuwa inakuwa kama ifuatavyo kwa katoni

32000
34000
36000
Unapatikana wap mkuu nikuletee katoni ngapi?

Naku pm number yangu
 
Ni vema ungeweka namba ya simu na sehemu ambayo mtu akihitaji anaweza kukupata
Mdau ni kweli unachokisema ila inabdi nitafute lain for business hii yangu ni private but ukiihitaji naku PM no yangu tunafanya biashara napunguza njaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom