Sabodo na ahadi ya kuchimba visima vya maji

Sabodo na ahadi ya kuchimba visima vya maji

Mjamii

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2009
Posts
1,027
Reaction score
314
Nimefuatilia kwa muda mrefu kuhusu ahadi alizotoa mzee Sabodo ya kuchimba visima vya maji. Wiki iliyopita nimegundua kuwa mpaka sasa hivi hajachimba hata kimoja. Swali kwa mzee Sabodo: Je! Ahadi zake ilikuwa ni kuwahamanisha wananchi? Je anataka wananchi wauone uongozi wa CHADEMA kuwa ni wametafuna fedha? Je? Ni CCM imemtisha hivyo akaacha kutimiza ahadi zake?
 
Ngoja nitafute namba yake ya simu .nimuulize.
 
Nimeona Lisu akijibu hilo swali Gazeti la Mwananchi kuwa Sabodo mpaka sasa hajatekeleza ahadi yake ya visima. Yawezekana CCM wamempiga mkwara.
 
Back
Top Bottom