Sabato njema wapendwa

Mtukutu wa Nyaigela

JF-Expert Member
Sep 4, 2018
6,545
11,095
kama una mpango wa kwenda mbinguni ,Usichukie sabato maana hata mbinguni itakuwepo

Isa 66:23 SUV​

Na itakuwa, mwezi mpya hata mwezi mpya, na sabato hata sabato, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asema BWANA.

kwa wale wanaopenda agano jipya: na kama wewe ni mtu wa Mungu

Waebrania 4:9-10​

Basi, imesalia raha ya sabato kwa watu wa Mungu. Kwa maana yeye aliyeingia katika raha yake amestarehe mwenyewe katika kazi yake, kama vile Mungu alivyostarehe katika kazi zake.

Kut 20:8-11 SUV​

Ikumbuke siku ya Sabato uitakase. Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; lakini siku ya saba ni Sabato ya BWANA, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako. Maana, kwa siku sita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo BWANA akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.

Hatutunzi sabato ili kuokolewa. tunatunza sabato kwa sababu tumeokolewa.

Efe 2:8-10 SUV​

Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu. Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo.

niwatakie sabato njema watu wa Mungu
 
Kol 2:16-17
Kol 2:16-17 SUV
Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato; mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.

Dini/Dhehebu halikupeleki mbinguni ....kitakachokupa tiketi ya kwenda mbinguni ni uhusiano wako binafsi na Mungu na sio ufuasi au ushabiki wa madhehebu
 
Kol 2:16-17
Kol 2:16-17 SUV
Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato; mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.

Dini/Dhehebu halikupeleki mbinguni ....kitakachokupa tiketi ya kwenda mbinguni ni uhusiano wako binafsi na Mungu na sio ufuasi au ushabiki wa madhehebu
Ungemuelewa Paulo usingekuja na ili fungu, Paulo amezunguka sana katika mashariki ya mbali kueneza injili alikuta watu na tamaduni zao, kuna maeneo alikuta wanatamaduni zao basi alienda kwa njia kama ya kwao ili awavute waijue ukweli, ndio maana ukisoma vitabu vya Paulo vyote kuna maeneo unaona kama vinakinzana hivi.
Ni sawa na wewe uende bar watu wanakunywa pombe uanze kuwasimanga kwamba ""ukilewa siku ya mwisho utachomwa moto" hapana lazima uenende kwa namna ambayo itavutia kuwashawishi.

ISAYA 66:23
jamaa ameandika hapo juu, kwamba itakua mwezi mpya sabato hata sabato, binadamu wote watakusanyika mbele za bwana kumuabudu yeye.

sasa wewe kama mkristo una imani kwamba huko mbinguni kutakua na dhehebu mbalimbali? Watakaosali jumamosi/jumapili/Jumatatu n.k?
 
Kol 2:16-17
Kol 2:16-17 SUV
Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato; mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.

Dini/Dhehebu halikupeleki mbinguni ....kitakachokupa tiketi ya kwenda mbinguni ni uhusiano wako binafsi na Mungu na sio ufuasi au ushabiki wa madhehebu
Utakuwaje na uhusiano bila kufuata maagizo yake?
 
Kol 2:16-17
Kol 2:16-17 SUV
Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato; mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.

Dini/Dhehebu halikupeleki mbinguni ....kitakachokupa tiketi ya kwenda mbinguni ni uhusiano wako binafsi na Mungu na sio ufuasi au ushabiki wa madhehebu
mkuu ,uhusiano gani usiofuata taratibu?

Ufu 14:12​

Hapa ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu, na imani ya Yesu

yohane 14:15-20 BHN​

“Mkinipenda mtazishika amri zangu. Nami nitamwomba Baba naye atawapeni Msaidizi mwingine, atakayekaa nanyi milele. Yeye ni Roho wa ukweli. Ulimwengu hauwezi kumpokea kwa sababu hauwezi kumwona wala kumjua. Lakini nyinyi mnamjua kwa sababu anabaki nanyi na yu ndani yenu. “Sitawaacha nyinyi yatima; nitakuja tena kwenu. Bado kidogo nao ulimwengu hautaniona tena, lakini nyinyi mtaniona; na kwa kuwa mimi ni hai, nanyi pia mtakuwa hai. Siku ile itakapofika mtajua kwamba mimi niko ndani ya Baba, nanyi mko ndani yangu, nami ndani yenu.

Yakobo 2:14-26

Neno: Bibilia Takatifu

Imani Na Matendo​

14 Kuna faida gani, ndugu zangu, ikiwa mtu atasema, “Ninayo imani,” na huku hana matendo? 15 Tuseme ndugu fulani au dada hana nguo wala chakula. 16 Ikiwa mmoja wenu atawaambia, “Nendeni salama, mkaote moto na kushiba,” pasipo kuwapatia mahitaji yao ya mwili, kuna faida gani? 17 Vivyo hivyo imani peke yake kama haina matendo, imekufa.
18 Lakini mtu mwingine atasema, “Wewe unayo imani; mimi ninayo matendo.” Nionyeshe imani yako pasipo matendo nami nita kuonyesha imani yangu kwa matendo yangu. 19 Unaamini kuwa kuna Mungu mmoja. Vema. Lakini hata mashetani huamini hivyo, nao hutetemeka!
20 Ewe mpumbavu, unataka ushahidi wa kuthibitisha kwamba imani bila matendo ni bure? 21 Je, Abrahamu baba yetu hakuhesa biwa haki kwa matendo, alipomtoa mwanae Isaki madhabahuni? 22 Unaona jinsi ambavyo imani ilitenda kazi pamoja na matendo yake na imani ikakamilishwa kwa matendo. 23 Kwa njia hiyo yaka timizwa yale Maandiko yasemayo, “Abrahamu alimwamini Mungu, na kwa imani yake akahesabiwa kuwa mtu mwenye haki”; naye akaitwa rafiki wa Mungu.
24 Mnaona kwamba mtu huhesabiwa haki kwa matendo wala si kwa imani peke yake. 25 Hali kadhalika Rahabu, yule kahaba, yeye je, hakuhesabiwa haki kwa matendo yake alipowapokea wapelelezi na kuwaambia waende njia nyingine? 26 Kama vile ambavyo mwili pasipo roho umekufa, kadhalika imani pasipo matendo imekufa.
 
Ungemuelewa Paulo usingekuja na ili fungu, Paulo amezunguka sana katika mashariki ya mbali kueneza injili alikuta watu na tamaduni zao, kuna maeneo alikuta wanatamaduni zao basi alienda kwa njia kama ya kwao ili awavute waijue ukweli, ndio maana ukisoma vitabu vya Paulo vyote kuna maeneo unaona kama vinakinzana hivi.
Ni sawa na wewe uende bar watu wanakunywa pombe uanze kuwasimanga kwamba ""ukilewa siku ya mwisho utachomwa moto" hapana lazima uenende kwa namna ambayo itavutia kuwashawishi.

ISAYA 66:23
jamaa ameandika hapo juu, kwamba itakua mwezi mpya sabato hata sabato, binadamu wote watakusanyika mbele za bwana kumuabudu yeye.

sasa wewe kama mkristo una imani kwamba huko mbinguni kutakua na dhehebu mbalimbali? Watakaosali jumamosi/jumapili/Jumatatu n.k?

Mkuu usiungane na shetani kuichukia sabato​

Ezekieli 20:20 BHN​

Fanyeni Sabato zangu kuwa takatifu, ili ziwe ishara ya agano langu nanyi. Hizo zitawakumbusha kuwa mimi Mwenyezi-Mungu ni Mungu wenu.’

Kupinga sabato ni kupinga uwepo wa Muumbaji

Kut 31:12-18​

BWANA akasema na Musa, na kumwambia, Kisha, nena wewe na wana wa Israeli, na kuwaambia, Hakika mtazishika Sabato zangu, kwa kuwa ni ishara kati ya mimi na ninyi katika vizazi vyenu vyote; ili mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA niwatakasaye ninyi. Basi mtaishika hiyo Sabato; kwa kuwa ni takatifu kwenu; kila mtu atakayeitia unajisi hakika yake atauawa; kwa kuwa kila mtu afanyaye kazi katika siku hiyo, nafsi hiyo itakatiliwa mbali na watu wake. Kazi itafanywa siku sita; lakini siku ya saba ni Sabato ya kustarehe kabisa, takatifu kwa BWANA; kila mtu atakayefanya kazi yo yote katika siku ya Sabato, hakika yake atauawa. Kwa ajili ya hayo wana wa Israeli wataishika Sabato, kuiangalia sana hiyo Sabato katika vizazi vyao vyote, ni agano la milele. Ni ishara kati ya mimi na wana wa Israeli milele; kwani kwa siku sita BWANA alifanya mbingu na nchi, akastarehe kwa siku ya saba na kupumzika. Hapo BWANA alipokuwa amekwisha zungumza na Musa katika mlima wa Sinai, akampa hizo mbao mbili za ushuhuda, mbao mbili za mawe, zilizoandikwa kwa chanda cha Mungu.
 
kama una mpango wa kwenda mbinguni ,Usichukie sabato maana hata mbinguni itakuwepo

Isa 66:23 SUV​

Na itakuwa, mwezi mpya hata mwezi mpya, na sabato hata sabato, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asema BWANA.

kwa wale wanaopenda agano jipya: na kama wewe ni mtu wa Mungu

Waebrania 4:9-10​

Basi, imesalia raha ya sabato kwa watu wa Mungu. Kwa maana yeye aliyeingia katika raha yake amestarehe mwenyewe katika kazi yake, kama vile Mungu alivyostarehe katika kazi zake.

Kut 20:8-11 SUV​

Ikumbuke siku ya Sabato uitakase. Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; lakini siku ya saba ni Sabato ya BWANA, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako. Maana, kwa siku sita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo BWANA akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.

Hatutunzi sabato ili kuokolewa. tunatunza sabato kwa sababu tumeokolewa.

Efe 2:8-10 SUV​


SUV maana yake nini?
 
Hamnaga ubaya ila punguzeni kuwekeza kwenye sare za kwaya na kuponda kanisa katoliki hadi mnashindwa kujenga makanisa na kufanya utume wa kweli.

Mpiga kristo sio ukatoliki ni uislam unaomkana kristo waziwazi.
 
Kol 2:16-17
Kol 2:16-17 SUV
Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato; mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.

Dini/Dhehebu halikupeleki mbinguni ....kitakachokupa tiketi ya kwenda mbinguni ni uhusiano wako binafsi na Mungu na sio ufuasi au ushabiki wa madhehebu
Amina🙏
 
kama una mpango wa kwenda mbinguni ,Usichukie sabato maana hata mbinguni itakuwepo

Isa 66:23 SUV​

Na itakuwa, mwezi mpya hata mwezi mpya, na sabato hata sabato, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asema BWANA.

kwa wale wanaopenda agano jipya: na kama wewe ni mtu wa Mungu

Waebrania 4:9-10​

Basi, imesalia raha ya sabato kwa watu wa Mungu. Kwa maana yeye aliyeingia katika raha yake amestarehe mwenyewe katika kazi yake, kama vile Mungu alivyostarehe katika kazi zake.

Kut 20:8-11 SUV​

Ikumbuke siku ya Sabato uitakase. Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; lakini siku ya saba ni Sabato ya BWANA, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako. Maana, kwa siku sita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo BWANA akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.

Hatutunzi sabato ili kuokolewa. tunatunza sabato kwa sababu tumeokolewa.

Efe 2:8-10 SUV​

Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu. Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo.

niwatakie sabato njema watu wa Mungu
Mbigu gani hiyo huwa mnaijenga vichwani mwenu namna ilivyo?

Binadamu tunaijenga mbingu (ahera) kwa taswira ya Dunia na M/Mungu tunamvisha ubinadamu sana.

'Fatiki' ya kuabudu, pamoja na kwaya za mapambio iweje zisongeshwe hadi mbinguni'?
Maisha ya ahera hayana mwisho, hayapaswi kuwa na program za kuchosha kama vile kuomba(kusali) ama kuimba, kwa kuwa hauwezi kuomba jambo ambalo tayari ulikwishakupewa.

Kila mtu anavyojisikia tuu huijenga mbingu kwa namna anavyopenda.

Basi huja na taswira ya hisia zake na mpaka Mungu huchorwa kwa sura ya binadamu Mzee mwenye ndevu zenye mvi!

Mara wengine wanakuja na dhama ya mabikira, mito ya pombe na anasa za kila aina wazipendazo nk nk.

Wanakwambia Mungu na Mbingu havifananishwi na chochote unachokiwaza ama ulichokwisha kiona, ni Siri ambayo itajafunguliwa kwa wateule pekee waliomtii bwana(yeye) kwa matendo yao.
 
Kol 2:16-17
Kol 2:16-17 SUV
Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato; mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.

Dini/Dhehebu halikupeleki mbinguni ....kitakachokupa tiketi ya kwenda mbinguni ni uhusiano wako binafsi na Mungu na sio ufuasi au ushabiki wa madhehebu
1 Yohana 2:4 "Yeye asemaye, Nimemjua, wala hazishiki amri zake, ni mwongo, wala kweli haimo ndani yake."
 
Back
Top Bottom