Sababu za kuacha betting

Sababu za kuacha betting

sadalla

Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
78
Reaction score
71
Daa! Leo napumzika rasmi kubeti. Sababu ni hizi hapa.

1. Tangu nianze kubeti uwiano wangu wa kula na kuliwa ni 1:5.

2. Uhuni ni mwingi, timu zinajifungisha au hazifungi au hazifungani ( match fixing) refer Kwa tuhuma za Udinese.

3. Nimekuwa addicted. Nikikosa ela ya kustake na ya bando nakosa amani ya nafsi. Furaha yangu ni kucheza tu hata kama napigwa.

4. Nimeshindwa kuidhibiti tamaa. Nikila naendelea kucheza hatimaye naliwa yote. Usukaji wa mkeka chini ya odds 1000 naona nachelewa kutajirika.

5. Simu inanishughurisha mno, Kuna baadhi ya mambo ya kimaendeleo na kijamii Yanadolola.

6. Ndoa kuwa mashakani. Wakati wa tendo sitendi haki, nafanya harry niwahi kucashout.

7. Huwa ninalala na maumivu makali sana pale ninapocashout stake iliyopungua halafu timu ikashinda dakika za mwishoni AU niache kucashout kukiwa kumenona ikapungua mpaka cash out ikawa blocked.

8. Mwisho lakini si Kwa umuhimu, naokoa mahusiano baina yangu na Mungu.
 
Maamuzi mazuri sanaa lakini nakuhakikishia hutoweza kuacha any time soon
 
Daa! Leo napumzika rasmi kubeti. Sababu ni hizi hapa.

1. Tangu nianze kubeti uwiano wangu wa kula na kuliwa ni 1:5.

2. Uhuni ni mwingi, timu zinajifungisha au hazifungi au hazifungani ( match fixing) refer Kwa tuhuma za Udinese.

3. Nimekuwa addicted. Nikikosa ela ya kustake na ya bando nakosa amani ya nafsi. Furaha yangu ni kucheza tu hata kama napigwa.

4. Nimeshindwa kuidhibiti tamaa. Nikila naendelea kucheza hatimaye naliwa yote. Usukaji wa mkeka chini ya odds 1000 naona nachelewa kutajirika.

5. Simu inanishughurisha mno, Kuna baadhi ya mambo ya kimaendeleo na kijamii Yanadolola.

6. Ndoa kuwa mashakani. Wakati wa tendo sitendi haki, nafanya harry niwahi kucashout.

7. Huwa ninalala na maumivu makali sana pale ninapocashout stake iliyopungua halafu timu ikashinda dakika za mwishoni AU niache kucashout kukiwa kumenona ikapungua mpaka cash out ikawa blocked.

8. Mwisho lakini si Kwa umuhimu, naokoa mahusiano baina yangu na Mungu.


Nyuma yako mbele yetu ... Pumzika kwa amani MWAMBA RIP.
MUNGU AKUJAALIYE AMANI YA MILELE .
 
Mkuu uyanenayo ni kama unanicopy, Asa hyo namba Sita yaani inafikia hatua nyumbani hakujulikani ni lini mwisho wa mwezi na lini ni katikati..
 
Mkuu uyanenayo ni kama unanicopy, Asa hyo namba Sita yaani inafikia hatua nyumbani hakujulikani ni lini mwisho wa mwezi na lini ni katikati..
Imefika hatua nimetengeneza madeni makubwa yasiyo ya msingi nipo kwenye mapambano makubwa ya kuacha hii kitu naona mahusiano na jamii nikiyaharibu. Na MUNGU anisaidie.
 
Imefika hatua nimetengeneza madeni makubwa yasiyo ya msingi nipo kwenye mapambano makubwa ya kuacha hii kitu naona mahusiano na jamii nikiyaharibu. Na MUNGU anisaidie.
Wala usiache ila tumia akili jinsi ya kula pesa usiweke tamaa huwezi kutajirika haraka hivyo kwenye betting
 
Daa! Leo napumzika rasmi kubeti. Sababu ni hizi hapa.

1. Tangu nianze kubeti uwiano wangu wa kula na kuliwa ni 1:5.

2. Uhuni ni mwingi, timu zinajifungisha au hazifungi au hazifungani ( match fixing) refer Kwa tuhuma za Udinese.

3. Nimekuwa addicted. Nikikosa ela ya kustake na ya bando nakosa amani ya nafsi. Furaha yangu ni kucheza tu hata kama napigwa.

4. Nimeshindwa kuidhibiti tamaa. Nikila naendelea kucheza hatimaye naliwa yote. Usukaji wa mkeka chini ya odds 1000 naona nachelewa kutajirika.

5. Simu inanishughurisha mno, Kuna baadhi ya mambo ya kimaendeleo na kijamii Yanadolola.

6. Ndoa kuwa mashakani. Wakati wa tendo sitendi haki, nafanya harry niwahi kucashout.

7. Huwa ninalala na maumivu makali sana pale ninapocashout stake iliyopungua halafu timu ikashinda dakika za mwishoni AU niache kucashout kukiwa kumenona ikapungua mpaka cash out ikawa blocked.

8. Mwisho lakini si Kwa umuhimu, naokoa mahusiano baina yangu na Mungu.
Hiyo namba sita imenichekesha sana but najua unapumzika tu utarudi
 
Hongera iyo no 8 ndo nzuri kuliko zote
 
Back
Top Bottom