denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Nimetafakari kwa muda sababu ya msingi kwanini kocha hakumuingiza Kagere nikapata sababu mbili.
1. Nimehisi sub zinazotakiwa mwisho ni tatu, japo wapo wanaosema sababu ya Corona zinatakiwa sub mpaka wachezaji watano, kwasababu kama bado kocha alikuwa na nafasi ya kumuingiza Kagere baada ya Mugalu kuonekana amepwaya kule mbele, sioni kwanini hakufanya hivyo.
2. Sababu yangu ya pili inayoendana na ile ya kwanza ni kuumia kwa Lwanga, hii ilisababisha nafasi ya kumuingiza Kagere iwe imeshajazwa kwa aliechukua nafasi ya Lwanga (ambae ni Nyoni) hivyo kuondoa nafasi ya Kagere kuingia.
Kama hizi sababu zote mbili sio za kweli, maana yake kocha alikuwa na nafasi ya kumuingiza Kagere lakini hakufanya hivyo, kitendo chake cha kuonesha mahaba kwa mchezaji aliekosa ubunifu kule mbele kimechangia Simba SC kuondoshwa, hasa nikizingatia uwezo wa Kagere kwenye kuzifumania nyavu, kama ambavyo alikuwa mfungaji bora wa ligi yetu misimu miwili mfululizo.
1. Nimehisi sub zinazotakiwa mwisho ni tatu, japo wapo wanaosema sababu ya Corona zinatakiwa sub mpaka wachezaji watano, kwasababu kama bado kocha alikuwa na nafasi ya kumuingiza Kagere baada ya Mugalu kuonekana amepwaya kule mbele, sioni kwanini hakufanya hivyo.
2. Sababu yangu ya pili inayoendana na ile ya kwanza ni kuumia kwa Lwanga, hii ilisababisha nafasi ya kumuingiza Kagere iwe imeshajazwa kwa aliechukua nafasi ya Lwanga (ambae ni Nyoni) hivyo kuondoa nafasi ya Kagere kuingia.
Kama hizi sababu zote mbili sio za kweli, maana yake kocha alikuwa na nafasi ya kumuingiza Kagere lakini hakufanya hivyo, kitendo chake cha kuonesha mahaba kwa mchezaji aliekosa ubunifu kule mbele kimechangia Simba SC kuondoshwa, hasa nikizingatia uwezo wa Kagere kwenye kuzifumania nyavu, kama ambavyo alikuwa mfungaji bora wa ligi yetu misimu miwili mfululizo.