Sababu mojawapo ya Makamanda wa CHADEMA 'kummiss' Kikwete hii hapa

Status
Not open for further replies.
Apr 27, 2006
26,584
10,400
17798983_732396286942772_6765120169521633920_n.jpg


- Juzi Rais wa zamani JK alipoenda Bungeni inasemekana alishangiliwa zaidi na Makamanda wa Chadema, kuliko hata Wabunge wa CCM tafsiri nyingi sana zimetolewa ku justify kitendo hicho na hii ya kuitwa itwa Ikulu kupata Chai na Juice, inatajwa kuwa ni mojawapo ukizingatia kwamba Rais wa sasa ameshasema kwamba ni wakati wa kazi tu sio kukaa kaa na kucheka cheka na kunywa Juice ikiwa ni pamoja na kubana matumizi,

image-jpeg.491742
image-jpeg.491741


- Nini maoni yako please?

le Mutuz
 
Nadhani hili suala mnalikuza tu.

Kwani mlitaka Rais Mstaafu na Mwenyekiti wa CCM Taifa azomewe?

Kuna hoja/habari zingine ambazo zinaandikwa na vyombo vya habari nchini unaweza ukadhani Tanzania ni moja ya nchi zilizoendelea ambazo matatizo ya msingi kama elimu, afya na maji sio tatizo kuu katika nchi.

Magazeti na blogs zinajaza habari za udaku/majungu na wanafanya hivyo kwa sababu zina soko nchini.

Leo gazeti moja limetoka na headline inayosema eti Wabunge CCM kukiona ambao walimshangilia Mzee Kikwete. Kama una komoni sensi tu utafahamu huu ni udaku kwa sababu wabunge wote mpaka Mawaziri walimshangilia Rais wao mstaafu ambaye amekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa miaka 10.

Hii nchi sijui nani aliipa laana! Gosh!
 
Mtu ambaye alishindwa kumtumia baba yake kufika sehemu fulani au hata kutumia influence yake shida sana.

Hizi mada za kijingakijinga peleka huko fb au Instagram huku kuna watu na akili zao.

Hv Dada amesharipoti kazini (WHO) au???kwa nn usimuombe hata kazi ya kuosha choo huko kwani italipa zaidi kuliko hyo kazi unayofanya hapo mjini ya kujipendeleza kwa wanaume wenzako ili upate mkate wa siku W. J. Malecela
 
Mtu ambaye alishindwa kumtumia baba yake kufika sehemu fulani au hata kutumia influence yake shida sana.

Hizi mada za kijingakijinga peleka huko fb au Instagram huku kuna watu na akili zao.

Hv Dada amesharipoti kazini (WHO) au???kwa nn usimuombe hata kazi ya kuosha choo huko kwani italipa zaidi kuliko hyo kazi unayofanya hapo mjini ya kujipendeleza kwa wanaume wenzako ili upate mkate wa siku W. J. Malecela

- hahahahahahaha sasa jamani nilitegemea hoja mbona unanitukana sasa? hahahahahahhaha

le Mutuz
 
- hahahahahahaha sasa jamani nilitegemea hoja mbona unanitukana sasa? hahahahahahhaha

le Mutuz


Sijakutukana nimekupa tu Ushauri....kwa nafasi ya baba yako hukutakiwa kabisa kuwa au kufanya unayofanya ni aibu kubwa sana.


Ila hujachelewa sana unaweza bado kutumia influence ya baba yako kufika sehemu fulani.

Nasikia uko na 56 now...ukiamua unaweza badilisha kabisa hyo style ya maisha ya kujipendeleza tena kwa watu ambao ni wadogo zako sana na ukawa na maisha mazuri tu.

Ukitaka lakini ila kama umechagua hayo kuwa ndo maisha yako hakuna wa kukubadilisha.
 
Waliommiss zaidi JK ni ccm! Watu wamepoteza nafasi za ujumbe CC na NEC na mkutano mkuu unafikiri mchezo! Unataka kuniambia kati ya Nape na Lowasa Nani kammiss zaidi JK?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom