Pole ndugu yangu!
tatizo ni kuwa hakuna hata mmoja anayeelewa au atakayefanyia kazi malalamiko yako! mwisho wa siku ni kuwa uwe na fedha uishi! kuwa zimepatikana vipi...hakuna anayejali hilo hata takukuru watakushangaa!
Ninachoweza kusema ni kuwa ni kweli kabisa ethics za mtanzania wa nje na wa ndani ni tofauti. nje hata kama na tabia hiyo unayo utamfanyia nani?? nenda afrika kusini au india uone kama watanzania huko hawatoi na kupokea rushwa! inategema uko wapi!
Kingine mnajisahau mno....mwisho mnaishia kwenye frustration kama hizi, nje ni sehemu ya kwenda kidogo kama miaka yako minne na kurudi nchini. kwa mfano kwa sisi mafundi tukienda nje na kurudi channel zote za kupata fedha zinakuwa hamna! hakuna anayekujua kwa sababu ''ULIJIUA' ulipoenda nje!! kutengeneza network na kuanza upya sio rahisi!
Nina rafiki yangu nimemwacha ughaibuni na anapata mshahara wa serikali na kuutunza benki, mimi nikarudi fedha ile ile kwa wakati ule ule nikajenga nyumba, nondo mm 12 las december ilikuwa elfu 11, leo hii ni sh. elfu 17! ni mfano tu...kila kitu kinapanda na utakuta fedha yako yako uliyodunduliza huko haina thamani tena! hapa ni ujanja tu
All in all siyo sahihi ku-generalize mambo......mawaziri na wasomi wengi walisoma nje enzi hizo na walirudi na leo ndio wezi wa kutupwa!
wako ambao hawajawahi kwenda ulaya na wako humu ndani na hawaijui rushwa!
Mwisho in develiping countries like this...kuna opportunity nyingi za kutengenza fedha tofauti na ulaya...zipo tu tena hauhitaji rushwa unahitaji akili ...au copy an paste kitu gani kiko London hakiko Tanzania!
kuna sector za kilimo ambazo vijana wengi wanakimbilia na kutengeza pesa ya kufa mtu...siyo wezi! angalia films na miziki ilivyowatoa vijana...hizi zote rushwa?
muwe waangalifu mnapotoa concern zenu humu na hasa kama hizi ambazo ni za kibaguzi , hata kama una frustration zako sema , omba msaada usaidiwe!!! nimekaa abroad kama wewe ila nikakumbuka Tanzania haraka...na hata sasa bado nachechemea maumivu ya kukaa nje....ila opportunities is there to grab them!
ukikaa muda mrefu nchi siyo yako una kuwa ''second hand citizen'' ukirudi kwenye nchi ya wazazi wako unashangaa unakuwa tena ''second hand citizen''.....NA NDICHO UNACHOKUTANA NACHO SASA....pambana acha excuse na kunyoosha vidole, yes we have corrupt and we have clean people......they are every where in this planet even in USA! (take note here)
Pambana rudi nyumbani life is in Tanzania...uliza upewe CLEAN DEALS THERE ARE PLENTY OF THEM...ask bakhresa will confirm the same!! tena nyingi hazihitaji usomi.......matajiri wengi nchi hii hawajaenda shule taka kidogo!
another biggest problem kwa wasomi wengi ..they were tuned to be employed and they dont take risk!