Saa 48 za Pasco zimeisha tunatoa saa 24 za nyongeza

Mtu Mzima

JF-Expert Member
Oct 4, 2007
394
124
Kama mmesahau zile saa 48 mlizotoa na PM wenu zimeisha, Jumatatu hatujatia timu kazini kama mlivyoagiza, leo ni Jumanne, propaganda zote kupitia vyombo vya habari zimeshindwa na zitaendelea kushindwa na nyie wote mtalegea kwa jina la Yesu.

Kama bado mnayo huruma hata kidogo kiasi cha chembe ya haradali kubalini yaishe, tekelezeni madai ya msingi muokoe maisha ya ndugu zetu.

Kama bado mnaendekeza kiburi hamishieni Hospitali ya Apolo toka India ije Dar maana kelele za kusema wanajeshi watakuja kutoa huduma naona imeshindikana.

Lakini msisahau kuna sunami nyingine iko chini kwa chini yaja...
 
Kama mmesahau zile saa 48 mlizotoa na PM wenu zimeisha, Jumatatu hatujatia timu kazini kama mlivyoagiza, leo ni Jumanne, propaganda zote kupitia vyombo vya habari zimeshindwa na zitaendelea kushindwa na nyie wote mtalegea kwa jina la Yesu.

Kama bado mnayo huruma hata kidogo kiasi cha chembe ya haradali kubalini yaishe, tekelezeni madai ya msingi muokoe maisha ya ndugu zetu.

Kama bado mnaendekeza kiburi hamishieni Hospitali ya Apolo toka India ije Dar maana kelele za kusema wanajeshi watakuja kutoa huduma naona imeshindikana.

Lakini msisahau kuna sunami nyingine iko chini kwa chini yaja...


Duh Mkuu unaongelea nini mbona nimesjituka sana .Umejawa na hasira sana bwana mganga tafadhali rejea uandike kwaumakini tupe ujumbe .Enhee unasema kwamba........................................
 
Yes, Huu ndiyo wakati wa kuwapima viongozi wetu kama kweli ni viongozi au watawala, PM akiliweza hili saga, basi hata Urais 2015 apewe. Hii ni ngoma nzito, inahitaji hekima si UWT
 
Kama mmesahau zile saa 48 mlizotoa na PM wenu zimeisha, Jumatatu hatujatia timu kazini kama mlivyoagiza, leo ni Jumanne, propaganda zote kupitia vyombo vya habari zimeshindwa na zitaendelea kushindwa na nyie wote mtalegea kwa jina la Yesu.

Kama bado mnayo huruma hata kidogo kiasi cha chembe ya haradali kubalini yaishe, tekelezeni madai ya msingi muokoe maisha ya ndugu zetu.

Kama bado mnaendekeza kiburi hamishieni Hospitali ya Apolo toka India ije Dar maana kelele za kusema wanajeshi watakuja kutoa huduma naona imeshindikana.

Lakini msisahau kuna sunami nyingine iko chini kwa chini yaja...

Ngoja siku na jeshi liseme NO ... Serikali itashika adabu.
Kama serikali haina huruma na wanachi wake ... Mapambano na yaendelee!!!
 
Vijana walamba viatu dizaini ya Pasco wanakera sana yaani mtu anaongeea kama msemaji wa Magogoni, Vijana eeeh tusiwe waosha vinywa wa viongozi wawe wa magamba au wa upinzani otherwise WATAALAMU wetu wataendelea kuwa WATUMWA kwa WANASIASA. Uzalendo si kuosha kinywa.........
 
Kama mmesahau zile saa 48 mlizotoa na PM wenu zimeisha, Jumatatu hatujatia timu kazini kama mlivyoagiza, leo ni Jumanne, propaganda zote kupitia vyombo vya habari zimeshindwa na zitaendelea kushindwa na nyie wote mtalegea kwa jina la Yesu.

Kama bado mnayo huruma hata kidogo kiasi cha chembe ya haradali kubalini yaishe, tekelezeni madai ya msingi muokoe maisha ya ndugu zetu.

Kama bado mnaendekeza kiburi hamishieni Hospitali ya Apolo toka India ije Dar maana kelele za kusema wanajeshi watakuja kutoa huduma naona imeshindikana.

Lakini msisahau kuna sunami nyingine iko chini kwa chini yaja...

Nimeanza kuwakubali mkuu,hatua ya kusaini na kula kona au kukaa bila kazi hapa sijui watafanya nini,na kitendo cha wauguzi kuwakataa wanajeshi nalo ni pigo!!kweli mlijipanga,viongozi wetu wanashindwa hata kutumia methali/nahau za mababu zetu mfano uwezi kumlazimisha ng'ombe kunywa maji,unaweza kumpeleka mtoni akakojoa na kuondoka,mimi uwa ni kichwa ila utatuzi wa hapa kama ningekuwa kiongozi bado sijaupata.
 
PM aliiweka pabaya serikali yake kuajili ya mazungumzo ya amani kiasi kwamba amefunga njia za mashauriano kuendelea mi naona ili jambo hili liishe vizuri ni bora Madaktari wetu wapunguze jaziba waombe kukutana na Rais wetu ili kuyatafutia ufumbuzi haya matatizo

Jamani tusiseme kwa sababu hatujaugua/kuuguliwa CHONDE CHONDE MADAKTARI PUNGUZEZENI JAZBA
 
Kama mmesahau zile saa 48 mlizotoa na PM wenu zimeisha, Jumatatu hatujatia timu kazini kama mlivyoagiza, leo ni Jumanne, propaganda zote kupitia vyombo vya habari zimeshindwa na zitaendelea kushindwa na nyie wote mtalegea kwa jina la Yesu.

Kama bado mnayo huruma hata kidogo kiasi cha chembe ya haradali kubalini yaishe, tekelezeni madai ya msingi muokoe maisha ya ndugu zetu.

Kama bado mnaendekeza kiburi hamishieni Hospitali ya Apolo toka India ije Dar maana kelele za kusema wanajeshi watakuja kutoa huduma naona imeshindikana.

Lakini msisahau kuna sunami nyingine iko chini kwa chini yaja...
Mkuu unatutisha sana. Haya yanayotokea ni makubwa, sasa sunami tena? Ebu fafanua kidogo tusiojua tuielewe hiyo sumani ni nini hasa
 
Kama mmesahau zile saa 48 mlizotoa na PM wenu zimeisha, Jumatatu hatujatia timu kazini kama mlivyoagiza, leo ni Jumanne, propaganda zote kupitia vyombo vya habari zimeshindwa na zitaendelea kushindwa na nyie wote mtalegea kwa jina la Yesu.

Kama bado mnayo huruma hata kidogo kiasi cha chembe ya haradali kubalini yaishe, tekelezeni madai ya msingi muokoe maisha ya ndugu zetu.

Kama bado mnaendekeza kiburi hamishieni Hospitali ya Apolo toka India ije Dar maana kelele za kusema wanajeshi watakuja kutoa huduma naona imeshindikana.

Lakini msisahau kuna sunami nyingine iko chini kwa chini yaja...

Nimatunda ya kutofikiri.acha wayaone.
 
Wee Pasco,njoo sasa na analysis zako, tunaelekea masaa 60! Ulidhani unawatisha Madaktari,sasa na manesi wamegoma rasmi,mwambie PM atoe summary dismassal kama ni rahisi ki hivyo.
 
MADAKTARI NIMEWAVULIA KOFIA MKO JUU KOMAENI MONYESHE NJIA,WALIMU HAWANA MPANGO WAKIGOMA SIKU MOJA KESHO YAKE WANARUDI KWA VISENTI VICHAChE
 
Ngoja siku na jeshi liseme NO ... Serikali itashika adabu.
Kama serikali haina huruma na wanachi wake ... Mapambano na yaendelee!!!

jeshi lipi mkuu hili la ufisadi wa trilion za shilingi au jingine???
 
Duh Mkuu unaongelea nini mbona nimesjituka sana .Umejawa na hasira sana bwana mganga tafadhali rejea uandike kwaumakini tupe ujumbe .Enhee unasema kwamba........................................

Nimegoma hata kukujibu...
 
Wee Pasco,njoo sasa na analysis zako, tunaelekea masaa 60! Ulidhani unawatisha Madaktari,sasa na manesi wamegoma rasmi,mwambie PM atoe summary dismassal kama ni rahisi ki hivyo.
walio mtuma wamejificha chooni, sasa yeye akawafuata huko, kuwatoa wamegoma, sasa yeye ndio ametuletea thread nyingine kwamba serikali inataka kuanza mazungunzo upya na madaktari
 
Back
Top Bottom