Mtu Mzima
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 394
- 124
Kama mmesahau zile saa 48 mlizotoa na PM wenu zimeisha, Jumatatu hatujatia timu kazini kama mlivyoagiza, leo ni Jumanne, propaganda zote kupitia vyombo vya habari zimeshindwa na zitaendelea kushindwa na nyie wote mtalegea kwa jina la Yesu.
Kama bado mnayo huruma hata kidogo kiasi cha chembe ya haradali kubalini yaishe, tekelezeni madai ya msingi muokoe maisha ya ndugu zetu.
Kama bado mnaendekeza kiburi hamishieni Hospitali ya Apolo toka India ije Dar maana kelele za kusema wanajeshi watakuja kutoa huduma naona imeshindikana.
Lakini msisahau kuna sunami nyingine iko chini kwa chini yaja...
Kama bado mnayo huruma hata kidogo kiasi cha chembe ya haradali kubalini yaishe, tekelezeni madai ya msingi muokoe maisha ya ndugu zetu.
Kama bado mnaendekeza kiburi hamishieni Hospitali ya Apolo toka India ije Dar maana kelele za kusema wanajeshi watakuja kutoa huduma naona imeshindikana.
Lakini msisahau kuna sunami nyingine iko chini kwa chini yaja...