Habari wakuu poleni na majukumu ya week na wengine kama mm tunajipa pole kwa kukosa gazeti letu pendwa la mwanainchi na mtanzania poleni sana kwani leo nimenunua sani nasoma katuni za baba ubaya , jamani ni hivi kuna swala linanishangaza sana nilitokea kuwa na mahusiano na dada mrembo sana na nikamfanyia kila kitu kumpangia nyumba na vitu vya dhamani vyote nikanunua ila kinachonikera zaidi ananitangazia kwa majirani kuwa najipendekeza kwake kwamba sihemi wala sizungushi na huwa nalia nisipo tekeleza matakwa yake sasa mm nashangaa sana kwa hilo sasa nimeamua kutofika wake na kusitisha huduma kwake kwani siwezi kuwaaminisha watu aliyowambia uwongo wake ukawa ukweli kwangu sasa nimeamua kumwacha na domo lake ala now baaada ya week mbili za kumpotezea kanifunguli jalada polisi kuwa nimempa mimba na kutelekeza na cha zaidi anasema nimemwambikiza ukimwi ushauri wakuuu