Wana roho mbaya kama ccm, na utawala wa sasa. Unafanya mauaji kwa sababu za kijinga, ati mtu ametoa maoni. Mchana kweupe unampiga mtu risasi zaidi ya 30. Mungu kamponya unamtanyia unyama zaidi AFADHALI HATA HAO WA SAUZI.
Ccm na watu wake wanajenga chuki itakayo dhidi hapo.