Sisi watanzania tuwe makini tusidanganywe na Nterahamwe waliojaa Jamii Forum. Kama Rwanda wamefanya vizuri why all the hate? Malawi wameigiza ile project ya Kagame ya One cow per household kupunguza umasikini. Hao nterahamwe wanaotudanganya wanaipinga eti Kagame anataka kuwageuza Wahutu kuwa wafugaji kama Watusi wakati wana poverty economists duniani wanakubali inasaidia sana kupunguza umasikini (extreme poverty).