lazima mchanganyiko utokee, kuna offspring watatokea, mind kuna waarabu, wasomali, waethipia, waafrika wa west african countries/states. Itakuwa ni mwingiliano wa ajabu wa tamaduni na dini na miaka ya mbeleni kutakuwa na wanyarwanda wa ajabu/machotara sio kama hawa tuliozoea kuwaona. Historia itakuja kutoa siri ya uingereza kwa nini ilifanya hivyoFaida Ni Nyingi Sana Hasa Wanaelekea Miaka Kadhaa Mbele
Rwanda Itatazamwa Na Hayo Mataifa Walikotoka Hao Pia Baadaye Kuna Mchanganyiko Unataka Utengenezwe
Wakimbiz hawana hizo. sema watu wafupi huwa hawataki kukubari ukweli, Rwanda hapa anasema yeye mkubwa kieneo kiasi cha kuwabeba wa kimbizi wote. Nchi kama Tanzania imeshindwa wawo wameweza. Hivyo wao wakubwa kuliko Tanzania. Ndio Lugha inayoongeleka hapa ya vitendo.Anataka nguvu kazi, Aswa tekinolojia
Kuna Kambi yoyote ya wakimbizi kutoka Rwanda ndani ya Tanzania? Ipi hiyo naomba utujuze mkuu, ina wakimbizi wangapi, I didint know.Serikali ifunge kambi za wakimbizi zilizohifadhi wanyarwanda warudishwe kwao mara moja. Hakuna sababu ya kuendelea kuwapa hifadhi wakati nchi yao inaweza kuwahifadhi.
Hiyo mbona ipo siku nyingi sana, Waafrika wote kutoka nchi 54 za Afrika kuingia Rwanda ni bureee, visa on entry pale pale Airport Kigalikwanini wasitangaze Visa free kama Kenya?
Hahahaaaa! Hivi hizo Rasilimali wewe binafsi unafaidika nazo kweli au ni porojo tu.labda wataleta maendeleo rwanda iwe kama ulaya. Hao wakimbizi wakifika rwanda watulie hukohuko, wasianze kutamani rasimali za mataifa jirani na kuanzisha ushenzi wa kutaka kuzipata isivyo halali
Hili nalo neno hukuwa mbali na mimi kimawazo hiyo ni Expansionism TheoryRwanda nitaifa dogo sana, nazani faida ya kutaka hao wakimbizi ni kuimarisha jeshi ambalo litapatikana kutoka kizazi Cha hao wakimbizi ambao watakuwa ni wanyarwanda wa kuzaliwa hakuna kingine baadae wataamua kuexpand nchi Yao kwenda congo kimabavu Kupitia vikundi ya waasi
Na wakipiga hizo hela wanawakaribisha miezi 6 tokeni wanatimuliwa,full usanii.Hela za msaada. Africa utasema tumelaaniwa.
Wanapewa,Inamaana watapewa ruzuku kuwatunza hao wakimbizi?
ndiyo, nafaidika nazoHahahaaaa! Hivi hizo Rasilimali wewe binafsi unafaidika nazo kweli au ni porojo tu.
Kagame ni mbinafsi Sana mbwa yule.Hela za msaada. Africa utasema tumelaaniwa.
Majibu.....Poleni Kwa majukumu wadau
Kuna habari kuwa Rwanda imejipanga kuwapokea wakimbizi Toka ulaya. Ninacho dadisi ni je? Rwanda itafaidika kwa lipi?
Nawasilisha
Nimekupata mkuuMajibu.....
1. Inajihakikishia uaminifu kutoka kwa moja ya nchi ambayo ni Super Power duniani
2. Inajihakikishia hata kupata Msaada wa Kiusalama ( hasa ikiwa katika Mzozo ) na nchi mbili jirani za Wapumbavu
3. Kuja kwa Wakimbizi kutaongeza Rwanda kuonekana kwa Jicho la Tatu la Kimsaada toka WB na IMF
4. Kuja kwa Wakimbizi kutaweza kusaidia kuleta Ujuzi kwa Warwanda kwani Wakimbizi wengi huwa na Ujuzi mwingi
5. Kutasaidia Rwanda kupokea Miradi mingi ya Kusaidia hao Wakimbizi ambayo nayo itafadikia Kiuchumi
6. Itasaida Wanyarwanda Kuzaana na hao Wakimbizi ili kupata Cream ya Watu Werevu kutoka Watokako Wakimbizi
7. Inaithibitishia dunia na hata UN kuwa Rwanda ni sehemu salama kwa sasa hata huko nyuma ilikuwa Machafukoni
Nimemaliza.