Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 783
- 525
Hakuna democrasia kwenye umaskini, si yeye tu Rwaitama peke yake hata nyombo vya nje vinapiga kelele kwa sababu hofu kupoteza uwezo wa kuendelea kutupigisha magoti, wanashangaa tumejitambua, ukiwa na njaa mwenye chakula akikwambia piga magoti utapiga tu utake usitake,
Anachokifanya Magufuli anatengeneza mazingira ya democrasia ya kweli ya uchumi anaposema ni watu siyo vitu, watu bila vitu/uchumi mzuri mtayumbishwa tu.
Mbona JK aliwapa kusema mtakalo mwishoni mkasema ni Raid wa kuzurura, dhaifu ameharibu uchumi, mnataka Rais mkali anayeweza kukemea rushwa na kujenga uchumi amepatikana Magufuli mnalalama tulizeni kichwa kinyolewe. Kumbukeni yaliyowapata Libya Leo wanatamani wajue tu hata mifupa ilikofukiwa ili waiombe radhi.
Rwaitama Mimi na wewe ambao tumo ndani ya 20% ya waliobaki ambao walikuwepo kabla uhuru, tukae tu kuiona TZ inavyopaa tusijitoe ubinadamu kwa kutetea matumbo yetu 60% ya population ambayo ni vijana inahitaji kuona Tanzania Mpya kwa miaka 58 Tanzania imeweza kuwa na mamilionea wasiozidi 10 Magufuli ameahidi katika kipindi chake azalishe mamilionea angalau 100 na inawezekana pale mnapokuwa na uwezo wakukusanya kodi ili kutengeneza nafasi kuzalisha ndani zaidi kuuza nje /kununua kidogo kutoka nje hata kwa mambo nyasiyo muhimu.
Anachokifanya Magufuli anatengeneza mazingira ya democrasia ya kweli ya uchumi anaposema ni watu siyo vitu, watu bila vitu/uchumi mzuri mtayumbishwa tu.
Mbona JK aliwapa kusema mtakalo mwishoni mkasema ni Raid wa kuzurura, dhaifu ameharibu uchumi, mnataka Rais mkali anayeweza kukemea rushwa na kujenga uchumi amepatikana Magufuli mnalalama tulizeni kichwa kinyolewe. Kumbukeni yaliyowapata Libya Leo wanatamani wajue tu hata mifupa ilikofukiwa ili waiombe radhi.
Rwaitama Mimi na wewe ambao tumo ndani ya 20% ya waliobaki ambao walikuwepo kabla uhuru, tukae tu kuiona TZ inavyopaa tusijitoe ubinadamu kwa kutetea matumbo yetu 60% ya population ambayo ni vijana inahitaji kuona Tanzania Mpya kwa miaka 58 Tanzania imeweza kuwa na mamilionea wasiozidi 10 Magufuli ameahidi katika kipindi chake azalishe mamilionea angalau 100 na inawezekana pale mnapokuwa na uwezo wakukusanya kodi ili kutengeneza nafasi kuzalisha ndani zaidi kuuza nje /kununua kidogo kutoka nje hata kwa mambo nyasiyo muhimu.