Ila CCM wamejizatiti nasikia wanapiga rami Songea kwenda Mbinga,Songea to Namtumbo na Songea Tunduru.
Nasikia wanataka kuwapeleka gridi ya taifa
Na huu uvunaji wa Uranium you never know wanaweza kuwakawamua hawa kwenye Lindi la umaskini pamoja na Mkaa kule Ngaka
Ila CCM wamejizatiti nasikia wanapiga rami Songea kwenda Mbinga,Songea to Namtumbo na Songea Tunduru.
Nasikia wanataka kuwapeleka gridi ya taifa
Na huu uvunaji wa Uranium you never know wanaweza kuwakawamua hawa kwenye Lindi la umaskini pamoja na Mkaa kule Ngaka
Ila CCM wamejizatiti nasikia wanapiga rami Songea kwenda Mbinga,Songea to Namtumbo na Songea Tunduru.
Nasikia wanataka kuwapeleka gridi ya taifa
Na huu uvunaji wa Uranium you never know wanaweza kuwakawamua hawa kwenye Lindi la umaskini pamoja na Mkaa kule Ngaka
Pili angalia hizo takwimu, CHADEMA iko wapi? ni kweli kuwa CHADEMAni ya kaskazini siyo? Wana-mabadiliko THINK, Tanzania ni pamoja na mikoa ya kusini,siyo k-njaro,arusha na Mwanza tu. Naipenda na kuiunga mkono CHADEMA lakini, tuna vitu vingi vya kufanya kuichukua nchi. Kwa taarifa yetu sote. CUF wanakuja vizuri sana. Sisi CHADEMA tuna vitu vya kujifunza toka CCM na CUF (Hawa jamaa wako kila mahali,sio mijini tu)
Of all the 7 constituencies,all have been taken by CCM
PERAMIHO
JENISTER MHAGAMA
CCM
2
JOSEPH MHAGAMA
CUF
1
TUNDURU KASKAZINI
RAMA MATALAMATANI
CCM
19,573
MAZEE RAJAB MAZEE
CUF
17,365
LAMBI ABDALLAH
CHADEMA
604
MAKANYANGA ABDALLAH
UDP
72
1
TUNDURU KUSINI
ABDALLAH MTATURA
CCM
19,856
2
MOHAMED MAMBO
CUF
10,930
3
JACOB MBAWALA
SAU
4
DAIMA MPAKATE
CHAUSTA
1
SONGEA MJINI
EMMANUEL NCHIMBI
CCM
27,582
2
EDSON MBOGORO
CHADEMA
17,495
MTIKITA ISSA MTIKITA
CUF
928
1
MBINGA MASHARIKI
GAUDENCE KAYOMBO
CCM
2
BONIFACE NGONYANI
CUF
1
MBINGA MAGHARIBI
JOHN KOMBA
CCM
KASHINDA
2
CURTHBERT NGWATTA
CUF
1
NAMTUMBO
VITA KAWAWA
CCM
28,032
KASHINDA
2
HASSAN MTWANGAMBATI
CUF
9,529
Kuna haja ya kuiga wenzenu wa Kigoma,mbeya mjini ,arusha mjini etc
CCM mumekuwa nayo for the last 49 years na bado mnaikumbatia
Halafu ndio hao hao wanaishi kwenye nyumba za tembe alizokuwa anasema Dr. Slaa. Kuna watu ukiwaona wanateseka wala haina haja ya kuwahurumia kwa kuwa hawataki mabadiliko!