Ruvuma: CHADEMA yatangaza kutoshiriki uchaguzi mdogo wa ubunge Songea mjini


Sera za ccm zinaeleweka wakitumia mapanga dhidi ya upinzani? Nikuambie ccm haina sera wala mvuto, ndio maana inatumia mbinu za kikatili kujipatia madaraka. Uchaguzi wa juzi ndio mmegundua hamkubaliki kwa kiwango gani na ule unyama ni dalili za kutokukubalika kwenu. Hivyo huo uchaguzi mnaolazimisha kumwaga damu watu tumewapuuza shirikini wenyewe, pikeni matokeo kisha mkitoka hapo kesheni mkishangalia. Ila hata wananchi wamepata ujumbe kwamba mnatawala bila ridhaa yao.
 
Hivi ni visingizio vya kocha wa timu ya Kilimanjaro Stars.

Watu washawapotezea maana kama kanuni za mchezo zimewashinda mnataka watu washiriki nini? Vyama viko rafiki kibao, mnaweza shindana hata kikabila na kikanda huenda huko kukawa ba ushindani.
 
Uwanja tumewachi nyie wababe,mambo ya kutekana,kupigwa,kuumizana hatuyawezi

Ova

Husiwe unaniweka kwenye makundi unayowasingizia nisio wajua..

Mimi sina Chama.. ni mshabiki tu wa awamu hii ya JPM.
 
Mimi Mwenyezi Mungu kanipa Mtihani kidogo, bado sijabarikiwa watoto!!!

Ondoa Ofu.. endelea kumuaminia wala usiifikirie sana as haitakiwi na mwenza wako mpe amani usiyaongelee nae kabisa.. mumtumainie na yatakuja kupita.

Nakundondoshea baraka ubarikiwe kupata namba ya wanangu na kuizidi katika jina la Yesu Kristo.

Usisahau kunipa feedback mwakani mwezi huu.
 
Inshallah.
 
Hawa huwa tumewazoea kususa!hii trick sidhani kama nyalandu atafurahia na sidhani kama waliposusa wakafanikiwa poleni sana makarai mna safari ndefu katika nchi hii
 
Mbona unatoka povu? Wewe ni msemaji wa NEC-Fisiem? Au wewe ndio Kailima???
 
huyo unaemulaumu ni mtendaji na sio mwanasiasa, yy anafanya kazi kwa mujibu wa kanuni na sheria zilizopo, tuwaombe wabinge wetu wa upinzani wapeleke hoja bungeni ya kurekebisha hizi kanuni kama hazifai
 
haya haya kumekucha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…