Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,103
- 9,587
Nimepita hii ya Morogoro mjini kwenda Malinyi ni mwendo wa kutwa nzima kwa gari.
Nadhani hii ni moja ya ruti ndefu inayopatikana Tanzania ndani ya mkoa mmoja.
Ruti gani ndefu zaidi ndani ya mkoa mmoja?
Tupe uzoefu wako
Nadhani hii ni moja ya ruti ndefu inayopatikana Tanzania ndani ya mkoa mmoja.
Ruti gani ndefu zaidi ndani ya mkoa mmoja?
Tupe uzoefu wako