wapo wengi sana wanaoweza ku run ile nchi na wapo bright sana kuliko hata Putin sema ni vigumu sana kuingia kwenye system. na warusi wengi hawapo interested na politics kitu wasichotaka kusikia ni vita ila wanaipenda sana kuona mtu anayelinda nchi yao kwani wanajua kuwa wana maadui wengi sana wanaotaka kubeba resource zao