Russian General Staff: US radars controls almost whole Russia

Mzee




Kazi ya radar ni kulocate na labda kudirect air target.


Sasa radar kuwa na vast coverage inakuwaje tishio kwa dunia ya Leo?

Long range missile likishachanganya what can tha radar aids you then IF I MAY ASK!!!
Hahaaa hawajui hao halafu kwa sasa Russia anawekeza sana kwenye Nyambizi make hizo ndo siraha hatari kabisa achana na biashara ya ndege, Nyambizi inaweza kuja kimya kimya na kuibukia pwani na kupiga na kutokomea.
Rada kitu gani?
 
Hahaaa hawajui hao halafu kwa sasa Russia anawekeza sana kwenye Nyambizi make hizo ndo siraha hatari kabisa achana na biashara ya ndege, Nyambizi inaweza kuja kimya kimya na kuibukia pwani na kupiga na kutokomea.
Rada kitu gani?


Of course mkuu,,,,,Jetfighters ni za kuwanyanyasia masikini tu siku hizi.

Submarines are very effective in our era.Hizo ndege zilifuaga dafu Vietnam.

Maana submarine ikiwa invisible ni invisible kweli.
 
Mim nafikiria sana sipati jibu wazungu wamepewa akili gani ya kutengeneza mitambo kama hiyo na ikafanya kazi 100%? Wao huenda wakawa na extra brain au, kila wanacho kiwaza wakitengeneze wanatengeneza! Kwanini Africa tu washindwe hata kutengeneza mitambo kama hiyo

Tanzania ndiyo kabisa uwezo wao umeishia kutengeneza juice na kukaanga chips yai
Unajua tengeneza nn?
 
Mim nafikiria sana sipati jibu wazungu wamepewa akili gani ya kutengeneza mitambo kama hiyo na ikafanya kazi 100%? Wao huenda wakawa na extra brain au, kila wanacho kiwaza wakitengeneze wanatengeneza! Kwanini Africa tu washindwe hata kutengeneza mitambo kama hiyo

Tanzania ndiyo kabisa uwezo wao umeishia kutengeneza juice na kukaanga chips yai
Bolded
Kwao mjinga anainuliwa anakua mwerevu na mwerevu anawezeshwa zaidi anakua mwerevu plus kwetu mwerevu anashushwa anakua mjinga, refer mashetani vs malaika ya bwana mkubwa

siku tukitumia njia hiyo nuna hakika lazima tuwe kama wao
 
Of course mkuu,,,,,Jetfighters ni za kuwanyanyasia masikini tu siku hizi.

Submarines are very effective in our era.Hizo ndege zilifuaga dafu Vietnam.

Maana submarine ikiwa invisible ni invisible kweli.
Folk,
Usidhani wote sisi mabwege hapa. Hiki ulichoandika hapa eti "Maana submarine ikiwa invisible ni invisible kweli" is simply illusion,and travesty.
 
Folk,
Usidhani wote sisi mabwege hapa. Hiki ulichoandika hapa eti "Maana submarine ikiwa invisible ni invisible kweli" is simply illusion,and travesty.

Acha kuchekesha bana,tatizo mmeshakaririshwa sana na Western media kuwa oooh sijui F22 ni totally stealth wakati scientists wanasema hakuna Air weapon ambayo ni totally stealthy.

Halafu submarine ni mziki wa kuotea mbali,,,,,Magenerals wenyewe wanakuambia weapons to fear after intercontinental ballistic missiles ni Submarine.Submarine inaweza enda popote pale duniani ikafanya yake na kutokomea kama ninja.Nikimaanisha to-date war submarines.

Military analysts wanaziita submarines "GHOST WEAPONS".
 
Mim nafikiria sana sipati jibu wazungu wamepewa akili gani ya kutengeneza mitambo kama hiyo na ikafanya kazi 100%? Wao huenda wakawa na extra brain au, kila wanacho kiwaza wakitengeneze wanatengeneza! Kwanini Africa tu washindwe hata kutengeneza mitambo kama hiyo

Tanzania ndiyo kabisa uwezo wao umeishia kutengeneza juice na kukaanga chips yai
Wewe technolojia yako ni ya kuzindua flyover na visima vya maji....ukiweza kuwasupply maji watu WA kolomije ,ndo uanze kufikiria kutengeneza sindano kwanza.....
 
The truth is vijana hawajui missiles zilivyo. Ile ikishaattain critical velocity yake hutaiweza
Sasa hyo critical velocity itaattain saa ngp wakt tangu inatoka kwenye silo wazee wanaiMonitor.
 
The truth is vijana hawajui missiles zilivyo. Ile ikishaattain critical velocity yake hutaiweza
Sasa hyo critical velocity itaattain saa ngp wakt tangu inatoka kwenye silo wazee wanaiMonitor.
 
Attaining CV sio kitu cha muda pia usidanganywe kuwa mtu akiwa ana radar ndo anaona kila kitu. Kuna underground bases. Kuna impregnable bases kuna antiradioctive bases.
 
Attaining CV sio kitu cha muda pia usidanganywe kuwa mtu akiwa ana radar ndo anaona kila kitu. Kuna underground bases. Kuna impregnable bases kuna antiradioctive bases.
Ndo maaana kuna Bunker Buster bombs.
Mfano bomu jipya la nuclear la US B61-12,ni nuclear pia lina Bunker buster capabilities.
1e51910369c3a040e435c1c0f94bc668.jpg
18a63e834c4f2f32823389f2ec5a8f3b.jpg
 
Sawa nakubali ila mi nazungumzia missile ikishakuwa launched inakuwa almost impossible to contain. Pia sio kweli kwamba base zote za russia ziko under their full surveilance. Hawa wote ni wakubwa na wanaogopana maana hawajuani vyema

Sent from my SM-G355H using JamiiForums mobile app
 
Sasa zikinasa wewe huko sikimbi utajuaje manake hata huko russia hujaambiwa zimenasa nini
 
Mim nafikiria sana sipati jibu wazungu wamepewa akili gani ya kutengeneza mitambo kama hiyo na ikafanya kazi 100%? Wao huenda wakawa na extra brain au, kila wanacho kiwaza wakitengeneze wanatengeneza! Kwanini Africa tu washindwe hata kutengeneza mitambo kama hiyo

Tanzania ndiyo kabisa uwezo wao umeishia kutengeneza juice na kukaanga chips yai
Ata sisi tunaweza mkuu
Sema ni kuwa wale,mfano marekani budget yake ya jeshi tu ni trilion1300 uku sisi budget ya jeshi ni alound trilion5
Ko wale wanadvantage ya kunyambulua small characteristics of nature na kuifanyia kazi
Kingine wanavyuo vya wasomi wakali duniani ambao wakienda kule wakapata dau nono atabaki aiendeleze hyo nchi, tofauti na nchi zetu ambapo wanaikimbia
Na kingine wanaback-up ya waisrael ambao wana akili sana, hii kufanya hyo hella yao ya jesh kutumika ipaswavyo

Af tengua kauli mkuu. Maana sio nchi zote za wazungu hutengeneza vifaa vya maana. Ni baadhi2
Apa africa anaejitaid ni msouth
 
Back
Top Bottom