Russian General Staff: US radars controls almost whole Russia

ze kokuyo

JF-Expert Member
Jan 24, 2014
7,418
9,599
US Radars Cover Almost All Russian Territory - Russian MoD
d01dfe6f7643cf59ce878e3582bf29fe.jpg

dac587e247c595e77320581398d6c29b.jpg
 
Duh.... Mkuu maelezo ni marefu ila ntajitahid kueleza kifupi saaaana kadri ya uelewa wangu + niliyosoma class.
Sir,
Haihitaji maelezo marefu. Ni logic rahisi kabisa,kwamba, kama radar ime-cover eneo lako lote hadi jikoni, basi missiles zako zote na fighter jets+ bombers zitaonekana kabla ya kufikia target, na SAM zitakushughulikia. USA ana base chungu nzima every continent, and in waters...so anaweza kutungua missiles,ndege za adui,or to hit target from different locations.
Hii ndio advantage ya USA compared to RUSSIAN ambaye hana airbase nje ya nchini kwake, achilia mbali Carriers,anayo moja tu=weaknes
 
Sir,
Haihitaji maelezo marefu. Ni logic rahisi kabisa,kwamba, kama radar ime-cover eneo lako lote hadi jikoni, basi missiles zako zote na fighter jets+ bombers zitaonekana kabla ya kufikia target, na SAM zitakushughulikia. USA ana base chungu nzima every continent, and in waters...so anaweza kutungua missiles,ndege za adui,or to hit target from different locations.
Hii ndio advantage ya USA compared to RUSSIAN ambaye hana airbase nje ya nchini kwake, achilia mbali Carriers,anayo moja tu=weaknes
Dah... Asante sana mkuu umenirahisishia kaz ila nia yangu nilitaka nimdadavulie mdau hapo juu kuanzia jinsi kombora linavyoanza kurushwa na US atakua na advantage gan kwa kiundani zaid. Ila naona bora hyo mada niiweke vizuri zaid siku nikitulia niiweke Kama Thread humu.
 
Mim nafikiria sana sipati jibu wazungu wamepewa akili gani ya kutengeneza mitambo kama hiyo na ikafanya kazi 100%? Wao huenda wakawa na extra brain au, kila wanacho kiwaza wakitengeneze wanatengeneza! Kwanini Africa tu washindwe hata kutengeneza mitambo kama hiyo

Tanzania ndiyo kabisa uwezo wao umeishia kutengeneza juice na kukaanga chips yai
 
Mim nafikiria sana sipati jibu wazungu wamepewa akili gani ya kutengeneza mitambo kama hiyo na ikafanya kazi 100%? Wao huenda wakawa na extra brain au, kila wanacho kiwaza wakitengeneze wanatengeneza! Kwanini Africa tu washindwe hata kutengeneza mitambo kama hiyo

Tanzania ndiyo kabisa uwezo wao umeishia kutengeneza juice na kukaanga chips yai
Hahahaha mtu akikosana na GF wake analeta Thread hapa unategemea nini Kutoka Africa...?
 
Sir,
Haihitaji maelezo marefu. Ni logic rahisi kabisa,kwamba, kama radar ime-cover eneo lako lote hadi jikoni, basi missiles zako zote na fighter jets+ bombers zitaonekana kabla ya kufikia target, na SAM zitakushughulikia. USA ana base chungu nzima every continent, and in waters...so anaweza kutungua missiles,ndege za adui,or to hit target from different locations.
Hii ndio advantage ya USA compared to RUSSIAN ambaye hana airbase nje ya nchini kwake, achilia mbali Carriers,anayo moja tu=weaknes


Mkuu, ni hivi:

Kombora la masafa marefu likishafikia maximum cruising speed kulitungua ni kitu ambacho hakiwezekani.

Kwahiyo hiyo radar itabaki kuangalia tu.
 
Back
Top Bottom