Russia VS the West: Msimu mpya kwa Afrika

Russia VS the West: Msimu mpya kwa Afrika

Joshua justine

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2021
Posts
788
Reaction score
1,015
Huu ni mtazamo huru nasita kuuita unabii maana neno hilo lina maana kubwa zaidi.

Kwa wakati huu, vita kubwa kama hii inavyoendelea kutanuka na kubadili mitazamo ya kimataifa ya kimahusiano, kiuchumi, kisera na kiulinzi; tutegemee mabadiliko makubwa ya kiulimwengu hata iwapo vita hii MUNGU akiamua iishe leo hii, sembuse vita inogeshwe zaidi na kuleta madhara ya kutisha zaidi.

China aliwawahi wenzie kwa kuanza kujikita Afrika kibiashara mapema zaidi , kwa hili linaloendelea anajikuta ana advantage zaidi ya wenzie( mabepari).

Afrika itaangaliwa kwa jicho la tofauti sana kwa sasa, kuna vitu vingi west walitegemea east ambavyo pengine Afrika hatujaanza hata kuexplore hizo natural resource kama hizo.

Bidhaa itakapogombaniwa na wateja muuzaji anapata fursa zaidi ya kujidai kwa kupanga bei nzuri zaidi itakayomnufaisha .

Hili linakwenda kwa ghafula kutuondoa chini ya lile kongwa la miaka mingi tangu tuwe huru la kunyonywa kibiashara na mataifa bepari kwa kupangiwa na soko lao waliloita soko la dunia.

Hakuna namna kwamba Afrika siku moja tungeamka na kujikuta huru kutoka kwenye kongwa hilo kwa juhudi za viongozi wachache wenue nia njema dhidi ya viongozi wengi wa Afrika ambao ni mafisadi na vibaraka wa magharibi.

Kumbe ni mkono wa MUNGU tu wa nguvu ndio unaoweza kulifanya hilo kwa kutumia moto, sio kwa amani. Vita hii kwetu inaweza kuwa ukombozi pia.

Ni wakati viongozi wa Afrika wakaacha uzwazwa na kubaki wanaishangaa vita tu, viongozi wetu ni kama madunderheads, yaani hata akili hazi wake up , hawaangalii mambo logically, kiongozi lazima uwe proactive and predictive, kama huna hekima nenda kachunge mbuzi wa ukoo kwenu sio kuongoza taifa la roho za watu.

 
Africa, the Black Continent.

Mkuu sisi safari yetu bado mbichi kabisa, tunahitaji muda mrefu Sana kufika hatua ya kuwadengulia wazungu kuwauzia rasilimali zetu..
 
Africa, the Black Continent..

Mkuu sisi safari yetu bado mbichi kabisa, tunahitaji muda mrefu Sana kufika hatua ya kuwadengulia wazungu kuwauzia rasilimali zetu..
Yaani hata kusema kwamba waanze na ngazi ya wataalam wa uchumi tu kutoka kanda moja kwamba wakae chini waandae miongozo ya pamoja ambayo wanasiasa watakuja kupita humo , hata hilo hawawazi kabisa

Maana kama wana akili wangejisingizia kuwa wanakaa kujadili impact ya kiuchumi kwa mataifa yetu itakayoletwa na vita hii halafu kwenye yatokanayo wakajikita kujadili mikakati ya fursa.
 
Huu ni mtazamo huru nasita kuuita unabii maana neno hilo lina maana kubwa zaidi.

Kwa wakati huu, vita kubwa kama hii inavyoendelea kutanuka na kubadili mitazamo ya kimataifa ya kimahusiano, kiuchumi, kisera na kiulinzi; tutegemee mabadiliko makubwa ya kiulimwengu hata iwapo vita hii MUNGU akiamua iishe leo hii, sembuse vita inogeshwe zaidi na kuleta madhara ya kutisha zaidi.

China aliwawahi wenzie kwa kuanza kujikita Afrika kibiashara mapema zaidi , kwa hili linaloendelea anajikuta ana advantage zaidi ya wenzie( mabepari).

Afrika itaangaliwa kwa jicho la tofauti sana kwa sasa, kuna vitu vingi west walitegemea east ambavyo pengine Afrika hatujaanza hata kuexplore hizo natural resource kama hizo.

Bidhaa itakapogombaniwa na wateja muuzaji anapata fursa zaidi ya kujidai kwa kupanga bei nzuri zaidi itakayomnufaisha .

Hili linakwenda kwa ghafula kutuondoa chini ya lile kongwa la miaka mingi tangu tuwe huru la kunyonywa kibiashara na mataifa bepari kwa kupangiwa na soko lao waliloita soko la dunia.

Hakuna namna kwamba Afrika siku moja tungeamka na kujikuta huru kutoka kwenye kongwa hilo kwa juhudi za viongozi wachache wenue nia njema dhidi ya viongozi wengi wa Afrika ambao ni mafisadi na vibaraka wa magharibi.

Kumbe ni mkono wa MUNGU tu wa nguvu ndio unaoweza kulifanya hilo kwa kutumia moto, sio kwa amani. Vita hii kwetu inaweza kuwa ukombozi pia.

Ni wakati viongozi wa Afrika wakaacha uzwazwa na kubaki wanaishangaa vita tu, viongozi wetu ni kama madunderheads, yaani hata akili hazi wake up , hawaangalii mambo logically, kiongozi lazima uwe proactive and predictive, kama huna hekima nenda kachunge mbuzi wa ukoo kwenu sio kuongoza taifa la roho za watu.
Unachuki na serekali yetu nime kushutukia.
 
Yani hawajitambui kabisa wapo kwenye mambo ya kipuuzi, eti vitu vyote vitapanda bei kwa sababu ya vita inayo hendelea ukeni sijui ukreini ahaaa! Wana nichanganya tu.
 
Huu ni mtazamo huru nasita kuuita unabii maana neno hilo lina maana kubwa zaidi.

Kwa wakati huu, vita kubwa kama hii inavyoendelea kutanuka na kubadili mitazamo ya kimataifa ya kimahusiano, kiuchumi, kisera na kiulinzi; tutegemee mabadiliko makubwa ya kiulimwengu hata iwapo vita hii MUNGU akiamua iishe leo hii, sembuse vita inogeshwe zaidi na kuleta madhara ya kutisha zaidi.

China aliwawahi wenzie kwa kuanza kujikita Afrika kibiashara mapema zaidi , kwa hili linaloendelea anajikuta ana advantage zaidi ya wenzie( mabepari).

Afrika itaangaliwa kwa jicho la tofauti sana kwa sasa, kuna vitu vingi west walitegemea east ambavyo pengine Afrika hatujaanza hata kuexplore hizo natural resource kama hizo.

Bidhaa itakapogombaniwa na wateja muuzaji anapata fursa zaidi ya kujidai kwa kupanga bei nzuri zaidi itakayomnufaisha .

Hili linakwenda kwa ghafula kutuondoa chini ya lile kongwa la miaka mingi tangu tuwe huru la kunyonywa kibiashara na mataifa bepari kwa kupangiwa na soko lao waliloita soko la dunia.

Hakuna namna kwamba Afrika siku moja tungeamka na kujikuta huru kutoka kwenye kongwa hilo kwa juhudi za viongozi wachache wenue nia njema dhidi ya viongozi wengi wa Afrika ambao ni mafisadi na vibaraka wa magharibi.

Kumbe ni mkono wa MUNGU tu wa nguvu ndio unaoweza kulifanya hilo kwa kutumia moto, sio kwa amani. Vita hii kwetu inaweza kuwa ukombozi pia.

Ni wakati viongozi wa Afrika wakaacha uzwazwa na kubaki wanaishangaa vita tu, viongozi wetu ni kama madunderheads, yaani hata akili hazi wake up , hawaangalii mambo logically, kiongozi lazima uwe proactive and predictive, kama huna hekima nenda kachunge mbuzi wa ukoo kwenu sio kuongoza taifa la roho za watu.
Ni hapo utakaposhangaa baada ya miaka kadhaa tena michache tu ingawa yukrane now ni magofu lakini yukrane itarudi ilipokuwa kiuchumi na miundombinu na itapaa zaidi na afrika bado inashangaa shangaa iko palepale. Tatizo la Afrika ni aina ya watu waliopo africa, chukua waafrika wapeleke urusi leo halafu warusi waje Tanzania then baada ya miaka 5 tazama maendeleo kama hujakuta urusi ina umaskini na ufukara wa kutisha na Tanzania imepaa kiuchumi na miundombinu na hata huduma za jamii.
 
Ndo kabisa tunawaza 10 percent, tukizima umeme ili kumkomoa marehemu
SIJAELEWA HAPA, YANI UMEME UNAZIMWA KUMKOMOA MAREHEMU?? KWANI KABURINI NAPO WANATUMIA UMEME WA TANESCO???
 
Ni hapo utakaposhangaa baada ya miaka kadhaa tena michache tu ingawa yukrane now ni magofu lakini yukrane itarudi ilipokuwa kiuchumi na miundombinu na itapaa zaidi na afrika bado inashangaa shangaa iko palepale. Tatizo la Afrika ni aina ya watu waliopo africa, chukua waafrika wapeleke urusi leo halafu warusi waje Tanzania then baada ya miaka 5 tazama maendeleo kama hujakuta urusi ina umaskini na ufukara wa kutisha na Tanzania imepaa kiuchumi na miundombinu na hata huduma za jamii.
Sijui mizimu ya babu zetu ?!!
 
SIJAELEWA HAPA, YANI UMEME UNAZIMWA KUMKOMOA MAREHEMU?? KWANI KABURINI NAPO WANATUMIA UMEME WA TANESCO???
tumia akili vzr , walisema eti hakukuwa na marekebisho kipind cha marehemu hvy mashine zimechoka watakuwa wanazima kurekebisha
 
Back
Top Bottom