Russia has made progress on materials for hypersonic planes to launch nuclear attacks from space

Russia has made progress on materials for hypersonic planes to launch nuclear attacks from space

Sio kwamba US anashindwa kutengeneza hizo roket nchin mwake tatzo ni kwamba gharama ya kuzitengeneza kwake ni kubwa sana kitu kinachomfanya aendelee kutegemea kununua kutoka nje(Russia)... Kumbuka mwaka 2014 km sikosei kwenye ule mgogoro wa Crimea bunge la arekan lilipiga kura kutaka kuzuia uingizwaji wa Rocket kutoka Russia na baadh ya maafisa wa Russia walisikika wakilalamika(km tunavyojua uuzwaj wa hzo rocket kwa US inawaingizia fedha nying sana)... Na pia kabla ya hpo tumeona NASA wakifanya tests mbalimbal za engine zao mpya japo ni gharama sana na sidhan km zitaanza kutumika hv karibun ukizingatia wanaweza kupata hicho kitu kwa bei nafuu zaid.
Kama wao wanajiona wanauchumi mkubwa kuliko Urusi watalalamika kushindwa kutengeneza Wao
 
Sio kwamba US anashindwa kutengeneza hizo roket nchin mwake tatzo ni kwamba gharama ya kuzitengeneza kwake ni kubwa sana kitu kinachomfanya aendelee kutegemea kununua kutoka nje(Russia)... Kumbuka mwaka 2014 km sikosei kwenye ule mgogoro wa Crimea bunge la arekan lilipiga kura kutaka kuzuia uingizwaji wa Rocket kutoka Russia na baadh ya maafisa wa Russia walisikika wakilalamika(km tunavyojua uuzwaj wa hzo rocket kwa US inawaingizia fedha nying sana)... Na pia kabla ya hpo tumeona NASA wakifanya tests mbalimbal za engine zao mpya japo ni gharama sana na sidhan km zitaanza kutumika hv karibun ukizingatia wanaweza kupata hicho kitu kwa bei nafuu zaid.
Ndugu yangu sio kwamba marekani anapenda kutegemea injini za urusi, na wala tatizo siyo gharama za kutengeneza hizo injini, marekani kwa muda mrefu amekuwa akihangaika kutengeneza lakini kila akifanya majaribio anafeli, juzi hapa walijipa uhakika wakijua wameweza na wakaanza kusema wakatishe mkataba wa kununua hizo injini urusi walipojaribu tu dubwana lao likalipuka. Kuna technolojia nyingi za anga urusi kawazidi wamarekani mbali sana
 
Ndugu yangu sio kwamba marekani anapenda kutegemea injini za urusi, na wala tatizo siyo gharama za kutengeneza hizo injini, marekani kwa muda mrefu amekuwa akihangaika kutengeneza lakini kila akifanya majaribio anafeli, juzi hapa walijipa uhakika wakijua wameweza na wakaanza kusema wakatishe mkataba wa kununua hizo injini urusi walipojaribu tu dubwana lao likalipuka. Kuna technolojia nyingi za anga urusi kawazidi wamarekani mbali sana
Kufeli kwenye technology ni jambo la kawaida sana ht THAAD wkt IPO kwenye majaribio ilifeli Mara kibao had ikataka iwe cancelled lkn sasa hv ni one of the most capable air defence in the world.
 
Kufeli kwenye technology ni jambo la kawaida sana ht THAAD wkt IPO kwenye majaribio ilifeli Mara kibao had ikataka iwe cancelled lkn sasa hv ni one of the most capable air defence in the world.
ndugu yangu hapo tulikuwa hatuongelei THAAD, hapo nilikuwa namjibu mtu ambaye alisema kuwa marekani anashidwa kutengeneza engine kwasababu ya gharama kubwa sababu ambayo niliikataa kwa kumwambia tatizo siyo pesa tatizo anafeli kila anapojaribu kutengeneza.
 
ndugu yangu hapo tulikuwa hatuongelei THAAD, hapo nilikuwa namjibu mtu ambaye alisema kuwa marekani anashidwa kutengeneza engine kwasababu ya gharama kubwa sababu ambayo niliikataa kwa kumwambia tatizo siyo pesa tatizo anafeli kila anapojaribu kutengeneza.
Embu katafute"cannae drive" ya NASA uione.... Nmekutolea mfano kwamba kwenye teknolojia yyte ile kufeli ni jambo la kawaida sana hta hao akina Isaac Newton walifeli lkn baadae wakaleta matokeo chanya.... Na sasa hv US wanadevelop 3-D printed rockets ili kuacha kutegemea hzo za Russia RD-180...Ila kwenye mambo ya rocket US yupo nyuma kidogo ya Russia km tunavyojua hakuna nchi iliyojitosheleza kila kitu maana ht kwenye stealth technology US yupo mbele ya Russia na China coz kaanza kuitumia from 1980's wakt Russia na China ndo wanahangaika nayo kipind hiki
 

Attachments

  • Screenshot_2016-10-24-19-52-08.png
    Screenshot_2016-10-24-19-52-08.png
    77.6 KB · Views: 38
  • Screenshot_2016-10-24-19-52-33.png
    Screenshot_2016-10-24-19-52-33.png
    56.4 KB · Views: 38
  • Screenshot_2016-10-24-19-53-15.png
    Screenshot_2016-10-24-19-53-15.png
    56.5 KB · Views: 38
  • Screenshot_2016-10-24-19-53-30.png
    Screenshot_2016-10-24-19-53-30.png
    56.4 KB · Views: 41
Embu katafute"cannae drive" ya NASA uione.... Nmekutolea mfano kwamba kwenye teknolojia yyte ile kufeli ni jambo la kawaida sana hta hao akina Isaac Newton walifeli lkn baadae wakaleta matokeo chanya.... Na sasa hv US wanadevelop 3-D printed rockets ili kuacha kutegemea hzo za Russia RD-180...Ila kwenye mambo ya rocket US yupo nyuma kidogo ya Russia km tunavyojua hakuna nchi iliyojitosheleza kila kitu maana ht kwenye stealth technology US yupo mbele ya Russia na China coz kaanza kuitumia from 1980's wakt Russia na China ndo wanahangaika nayo kipind hiki
kaka mi sijabisha kuhusu kufeli,kweli hicho ni kitu cha kawaida....mimi nilikuwa namjibu mtu ambaye alisema kuwa marekani hawezi kutengeneza ingine kwasababu ya gharama.....mimi nikawa namuelimisha kuwa sababu sio gharama sababu bado hajaweza kufanikiwa kwenye mpango wake wa kutengeneza hizo ingine...sasa wewe nafikiri hujasoma tulikuwa unaongelea nini... lakini nashukuru umezidi kuniaongezea maarifa
 
russia wanajitahidi japokua kauchumi kao hakafikii hata ule wa jimbo la california...ila na wao wanajitutumua jamani
 
Sio kwamba US anashindwa kutengeneza hizo roket nchin mwake tatzo ni kwamba gharama ya kuzitengeneza kwake ni kubwa sana kitu kinachomfanya aendelee kutegemea kununua kutoka nje(Russia)... Kumbuka mwaka 2014 km sikosei kwenye ule mgogoro wa Crimea bunge la arekan lilipiga kura kutaka kuzuia uingizwaji wa Rocket kutoka Russia na baadh ya maafisa wa Russia walisikika wakilalamika(km tunavyojua uuzwaj wa hzo rocket kwa US inawaingizia fedha nying sana)... Na pia kabla ya hpo tumeona NASA wakifanya tests mbalimbal za engine zao mpya japo ni gharama sana na sidhan km zitaanza kutumika hv karibun ukizingatia wanaweza kupata hicho kitu kwa bei nafuu zaid.
Gharama sio tatizo mbona walitengeneza wakaiweka kwenye Antares na ikalipuka, shida sio gharama, shida utaalamu
 
Silaha ambazo watu walisha fanya research na kuzitengeneza miaka 10 iliyopita russia ndo anaanza research sasa hivi....Kikubwa ni kwambaa hakuna silahah yoyote ambayo Russia ataitengeneza sasa ivi US hawana...Huo ndio ukweli whether you like it on not...Anachofanya russia ni kujaribu ku balalance fire power but nothing new to US.
S500 missile USA wanayo?
 
S500 missile USA wanayo?
Kichwa kibovo kweli wewe.USA watamiliki vipi SAM za Russia?....Nachosema hapa ni counter ya silaha mbalimbali ambazo russia anatengeneza US alishakuwa na silaha kama izo kitambo...
Ivi shuleni ulienda kusomea ujinga?..
 
Back
Top Bottom