maalimu shewedy
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 860
- 691
Nazani haupo ktk Dunia hii, na hata jana wamekuja zaidi ya watu 200Mbna hatuwaoni hata dalili
Nazani haupo ktk Dunia hii, na hata jana wamekuja zaidi ya watu 200Mbna hatuwaoni hata dalili
Kama wao wanajiona wanauchumi mkubwa kuliko Urusi watalalamika kushindwa kutengeneza WaoSio kwamba US anashindwa kutengeneza hizo roket nchin mwake tatzo ni kwamba gharama ya kuzitengeneza kwake ni kubwa sana kitu kinachomfanya aendelee kutegemea kununua kutoka nje(Russia)... Kumbuka mwaka 2014 km sikosei kwenye ule mgogoro wa Crimea bunge la arekan lilipiga kura kutaka kuzuia uingizwaji wa Rocket kutoka Russia na baadh ya maafisa wa Russia walisikika wakilalamika(km tunavyojua uuzwaj wa hzo rocket kwa US inawaingizia fedha nying sana)... Na pia kabla ya hpo tumeona NASA wakifanya tests mbalimbal za engine zao mpya japo ni gharama sana na sidhan km zitaanza kutumika hv karibun ukizingatia wanaweza kupata hicho kitu kwa bei nafuu zaid.
Ht Obama alikuja na watu zaid ya 200Nazani haupo ktk Dunia hii, na hata jana wamekuja zaidi ya watu 200
Viwanda vya kufyatua watoto, i need to laugh.Ondoa wasiwasi Mkuu
Viwanda vinakuja bhanaaa
Ndugu yangu sio kwamba marekani anapenda kutegemea injini za urusi, na wala tatizo siyo gharama za kutengeneza hizo injini, marekani kwa muda mrefu amekuwa akihangaika kutengeneza lakini kila akifanya majaribio anafeli, juzi hapa walijipa uhakika wakijua wameweza na wakaanza kusema wakatishe mkataba wa kununua hizo injini urusi walipojaribu tu dubwana lao likalipuka. Kuna technolojia nyingi za anga urusi kawazidi wamarekani mbali sanaSio kwamba US anashindwa kutengeneza hizo roket nchin mwake tatzo ni kwamba gharama ya kuzitengeneza kwake ni kubwa sana kitu kinachomfanya aendelee kutegemea kununua kutoka nje(Russia)... Kumbuka mwaka 2014 km sikosei kwenye ule mgogoro wa Crimea bunge la arekan lilipiga kura kutaka kuzuia uingizwaji wa Rocket kutoka Russia na baadh ya maafisa wa Russia walisikika wakilalamika(km tunavyojua uuzwaj wa hzo rocket kwa US inawaingizia fedha nying sana)... Na pia kabla ya hpo tumeona NASA wakifanya tests mbalimbal za engine zao mpya japo ni gharama sana na sidhan km zitaanza kutumika hv karibun ukizingatia wanaweza kupata hicho kitu kwa bei nafuu zaid.
Kufeli kwenye technology ni jambo la kawaida sana ht THAAD wkt IPO kwenye majaribio ilifeli Mara kibao had ikataka iwe cancelled lkn sasa hv ni one of the most capable air defence in the world.Ndugu yangu sio kwamba marekani anapenda kutegemea injini za urusi, na wala tatizo siyo gharama za kutengeneza hizo injini, marekani kwa muda mrefu amekuwa akihangaika kutengeneza lakini kila akifanya majaribio anafeli, juzi hapa walijipa uhakika wakijua wameweza na wakaanza kusema wakatishe mkataba wa kununua hizo injini urusi walipojaribu tu dubwana lao likalipuka. Kuna technolojia nyingi za anga urusi kawazidi wamarekani mbali sana
ndugu yangu hapo tulikuwa hatuongelei THAAD, hapo nilikuwa namjibu mtu ambaye alisema kuwa marekani anashidwa kutengeneza engine kwasababu ya gharama kubwa sababu ambayo niliikataa kwa kumwambia tatizo siyo pesa tatizo anafeli kila anapojaribu kutengeneza.Kufeli kwenye technology ni jambo la kawaida sana ht THAAD wkt IPO kwenye majaribio ilifeli Mara kibao had ikataka iwe cancelled lkn sasa hv ni one of the most capable air defence in the world.
Embu katafute"cannae drive" ya NASA uione.... Nmekutolea mfano kwamba kwenye teknolojia yyte ile kufeli ni jambo la kawaida sana hta hao akina Isaac Newton walifeli lkn baadae wakaleta matokeo chanya.... Na sasa hv US wanadevelop 3-D printed rockets ili kuacha kutegemea hzo za Russia RD-180...Ila kwenye mambo ya rocket US yupo nyuma kidogo ya Russia km tunavyojua hakuna nchi iliyojitosheleza kila kitu maana ht kwenye stealth technology US yupo mbele ya Russia na China coz kaanza kuitumia from 1980's wakt Russia na China ndo wanahangaika nayo kipind hikindugu yangu hapo tulikuwa hatuongelei THAAD, hapo nilikuwa namjibu mtu ambaye alisema kuwa marekani anashidwa kutengeneza engine kwasababu ya gharama kubwa sababu ambayo niliikataa kwa kumwambia tatizo siyo pesa tatizo anafeli kila anapojaribu kutengeneza.
kaka mi sijabisha kuhusu kufeli,kweli hicho ni kitu cha kawaida....mimi nilikuwa namjibu mtu ambaye alisema kuwa marekani hawezi kutengeneza ingine kwasababu ya gharama.....mimi nikawa namuelimisha kuwa sababu sio gharama sababu bado hajaweza kufanikiwa kwenye mpango wake wa kutengeneza hizo ingine...sasa wewe nafikiri hujasoma tulikuwa unaongelea nini... lakini nashukuru umezidi kuniaongezea maarifaEmbu katafute"cannae drive" ya NASA uione.... Nmekutolea mfano kwamba kwenye teknolojia yyte ile kufeli ni jambo la kawaida sana hta hao akina Isaac Newton walifeli lkn baadae wakaleta matokeo chanya.... Na sasa hv US wanadevelop 3-D printed rockets ili kuacha kutegemea hzo za Russia RD-180...Ila kwenye mambo ya rocket US yupo nyuma kidogo ya Russia km tunavyojua hakuna nchi iliyojitosheleza kila kitu maana ht kwenye stealth technology US yupo mbele ya Russia na China coz kaanza kuitumia from 1980's wakt Russia na China ndo wanahangaika nayo kipind hiki
Acha kulaumu na kulia lia tuu be part of the solution nunua machine na wewe uanze kutengeneza vijiti uuze link hii hapa Toothpick Making Machine, Toothpick Making Machine Suppliers and Manufacturers at Alibaba.comMkuu kisu mbona mbali sana,kijiti tu chakuchokonolea meno kinatoka China wakati tumezungukwa na miti
Gharama sio tatizo mbona walitengeneza wakaiweka kwenye Antares na ikalipuka, shida sio gharama, shida utaalamuSio kwamba US anashindwa kutengeneza hizo roket nchin mwake tatzo ni kwamba gharama ya kuzitengeneza kwake ni kubwa sana kitu kinachomfanya aendelee kutegemea kununua kutoka nje(Russia)... Kumbuka mwaka 2014 km sikosei kwenye ule mgogoro wa Crimea bunge la arekan lilipiga kura kutaka kuzuia uingizwaji wa Rocket kutoka Russia na baadh ya maafisa wa Russia walisikika wakilalamika(km tunavyojua uuzwaj wa hzo rocket kwa US inawaingizia fedha nying sana)... Na pia kabla ya hpo tumeona NASA wakifanya tests mbalimbal za engine zao mpya japo ni gharama sana na sidhan km zitaanza kutumika hv karibun ukizingatia wanaweza kupata hicho kitu kwa bei nafuu zaid.
S500 missile USA wanayo?Silaha ambazo watu walisha fanya research na kuzitengeneza miaka 10 iliyopita russia ndo anaanza research sasa hivi....Kikubwa ni kwambaa hakuna silahah yoyote ambayo Russia ataitengeneza sasa ivi US hawana...Huo ndio ukweli whether you like it on not...Anachofanya russia ni kujaribu ku balalance fire power but nothing new to US.
Kichwa kibovo kweli wewe.USA watamiliki vipi SAM za Russia?....Nachosema hapa ni counter ya silaha mbalimbali ambazo russia anatengeneza US alishakuwa na silaha kama izo kitambo...S500 missile USA wanayo?