Russia boots out USAID

Ukiangalia ki-asilimia niko sawa. Hebu angalia tu dude linaitwa GASPROM na nduguye LUKOIL ni nini na jinsi alivyowashika pabaya nchi nyingi za Ulaya na hasa Ulaya ya kati ukiunganisha hapo na German. Ukishajua basi jiulize maduka makubwa ya vitu vya bei mbaya hasa Nguo, Magari, Saa, Mikufu nk kwa Europe yote, soko kubwa lipo wapi.

Una ndoto za mchana wewe!!
 
Last edited by a moderator:
jmushi1;Kuhusiana na wadeni wa USA,ni kweli hilo la kuhusu social security,lakini unapozungumzia wadeni ambao ni foreign government,basi uchina ndo wadeni wakubwa wa US.Zaidi soma hap chini...


http://0.tqn.com/d/create/1/0/0/x/C/-/Great-Wallet-of-China.jpg

http://usgovinfo.about.com/od/moneymatters/ss/How-Much-US-Debt-Does-China-Own.htm

BTW China is the world's biggest creditor.

Maika mitatu tangu uanzishe hii maada China has outmanoeuvred the West...empires always start to wither slowly
 
kama kakuwekea vikwazo shirika lake la misaada linafuata nn km si ujasusi!putin si mnafiki
 
Putin atafukuza hadi kivuli chake!!
 

Mkuu nimeipenda sana post yako. ni watu wachache sana wanaojua hilo. Kwa sasa raia wa russia wanaishi maisha mazuri kuliko america. Anayefatilia vizuri anaelewa.
At least kila mtu russia ana kitu cha kufanya baada ya kusoma au kuchukua kozi fulani.
Pia russia wengi ni wajuzi. America wengi ni wajuzi wa kuajiriwa.......
 
Putin anajua USA hawawez saidia bila kupata something in return... Nd maana awatimue tu
 
Waende mbali zaidi kwa kivitimua vi NGOs mshenzi vya Kimerikani nchini Urusi na Uchina kama kweli vipo - vinatumiwa sana na western intel agencies ku-fund vikundi vya kuleta vurugu kwa maandamano na wakati mwingine kiwatumia snipers walio penyeshwa nchini kuua watu ili vyombo vya magharibi vipate sababu ya kulahumu Serikali ambazo hawazipendi mbinu hizi zilitumika sana huko Ukraine kwa kuipindua Serikali iliyo kuwa imechanguliwa kidemokrasia - tangu Putin aseme hataruhusu tena washirika wake kufanyiwa michezo ya colour revolution ndio maana hatuvisikii tena siku hizi, na kwa kuwa hii ya Ukraine inaelekea kushindwa ndio maana USA wameanza kukata tamaa.
 
Huwa unawezeja kupata muda wa kuandika utumbo mrefu hivi?!
 
sasa si ungeandika kwa lugha ya nyerere mkuu ili wa darasa la saba c japo tuelewe kidogo au...?
 
em japo kwa kiswahili kwa ufupi mkuuu ....na mimi nielewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…