millcent5
Member
- Dec 8, 2013
- 62
- 25
Wabari waku?!!
Me naomba niulize mnisaidie hivi ni kwamba wajirii wamekosa uzalendo??? wazinzi sana?? Tamaa ya hela???kukomoana au??? au ni gani mbayaa hapa,
Kupata kazi sikuhizi hadi uwe na yapi?
1.cheti kizuri G.P.A nzuri??
2.referees??
3.hela ya kuhonga???
4.kama ni msichana uwe mrembo?
5.ukienda kwenye office uwe voluntere kwa muda ndo uwe mfanyakazi???
6.ukubali mshahara mdogo kisa unaanza kazi??
7.uwe umepitia maoffice mengi sana wakiwa wanamaanisha uwe na expirience au??
8.ukoo wako uwe unafanana na wa kigogo anaefahamika mjini!! Au mwanasiasa au mayer??au koplo au Dc!!! Eeeeee ndooo taaabu getee
Au inakuaje wakuu,me nashindwa kuekewa which iz which
Me naomba niulize mnisaidie hivi ni kwamba wajirii wamekosa uzalendo??? wazinzi sana?? Tamaa ya hela???kukomoana au??? au ni gani mbayaa hapa,
Kupata kazi sikuhizi hadi uwe na yapi?
1.cheti kizuri G.P.A nzuri??
2.referees??
3.hela ya kuhonga???
4.kama ni msichana uwe mrembo?
5.ukienda kwenye office uwe voluntere kwa muda ndo uwe mfanyakazi???
6.ukubali mshahara mdogo kisa unaanza kazi??
7.uwe umepitia maoffice mengi sana wakiwa wanamaanisha uwe na expirience au??
8.ukoo wako uwe unafanana na wa kigogo anaefahamika mjini!! Au mwanasiasa au mayer??au koplo au Dc!!! Eeeeee ndooo taaabu getee
Au inakuaje wakuu,me nashindwa kuekewa which iz which