Rushwa ya kupata ajira Tanzania

Rushwa ya kupata ajira Tanzania

millcent5

Member
Joined
Dec 8, 2013
Posts
62
Reaction score
25
Wabari waku?!!
Me naomba niulize mnisaidie hivi ni kwamba wajirii wamekosa uzalendo??? wazinzi sana?? Tamaa ya hela???kukomoana au??? au ni gani mbayaa hapa,
Kupata kazi sikuhizi hadi uwe na yapi?
1.cheti kizuri G.P.A nzuri??
2.referees??
3.hela ya kuhonga???
4.kama ni msichana uwe mrembo?
5.ukienda kwenye office uwe voluntere kwa muda ndo uwe mfanyakazi???
6.ukubali mshahara mdogo kisa unaanza kazi??
7.uwe umepitia maoffice mengi sana wakiwa wanamaanisha uwe na expirience au??
8.ukoo wako uwe unafanana na wa kigogo anaefahamika mjini!! Au mwanasiasa au mayer??au koplo au Dc!!! Eeeeee ndooo taaabu getee


Au inakuaje wakuu,me nashindwa kuekewa which iz which
 
nadhani yote uliotaja ni sawa lkn # 3 na 8 ndio sana
 
Ajira zinauzwa nje nje. Uhamiaji ni laki saba ukiutaka ni PM nikupe namba ukachukue kazi. uwe na vyeti halali. Upolisi laki nane mpaka milioni. sina namba ya muhusika.TRA ni milioni tatu uwe na vyeti halali na uwe uliapply na kupata namba ya interview. unazo m tatu ? CRDB uwe na vyeti na hongo sina cotact ya muhusika. Taja pengine nikuunganishe kwa pm.
 
Ajira zinauzwa nje nje. Uhamiaji ni laki saba ukiutaka ni PM nikupe namba ukachukue kazi. uwe na vyeti halali. Upolisi laki nane mpaka milioni. sina namba ya muhusika.TRA ni milioni tatu uwe na vyeti halali na uwe uliapply na kupata namba ya interview. unazo m tatu ? CRDB uwe na vyeti na hongo sina cotact ya muhusika. Taja pengine nikuunganishe kwa pm.

ndo mana wanaoajiriwa TRA wanaomba rushwa njenje hasa pale mayfair plaza PCCB sioni umuhmu wake zaidi ya kutetea mafisadi, ndo mana wanaoajiriwa UHAMIAJI wanaingza wahamiaji haramu, ndo mana POLISI wananuka rushwa, ndo mana MABENKI yetu michoro ya wizi haiishi BZ hao wote ni PRODUCTS ZA RUSHWA...........
 
Kama msichana ni mrembo basi ukubali kufanyiwa interview Guest House.
 
Ukiangalia nchi zenye machafuko ya siasa, mara nyingi hayo machafuko yanaletwa na vijana waliokosa ajira. Yaani kijana amemaliza shule, cheti au shahada anayo lakini anakosa ajira. Kila anapoenda kuomba kazi mlango unafungwa. Kama serikali haitakuwa makini, haya ni majanga baadaye.
 
sikiliza midundo mipya na high performance leadership live seminar AZIM JAMAL
 
Ajira zinauzwa nje nje. Uhamiaji ni laki saba ukiutaka ni PM nikupe namba ukachukue kazi. uwe na vyeti halali. Upolisi laki nane mpaka milioni. sina namba ya muhusika.TRA ni milioni tatu uwe na vyeti halali na uwe uliapply na kupata namba ya interview. unazo m tatu ? CRDB uwe na vyeti na hongo sina cotact ya muhusika. Taja pengine nikuunganishe kwa pm.
mimi nipe namba mkuu nimechoka kukaa kitaa
 
Ajira zinauzwa nje nje. Uhamiaji ni laki saba ukiutaka ni PM nikupe namba ukachukue kazi. uwe na vyeti halali. Upolisi laki nane mpaka milioni. sina namba ya muhusika.TRA ni milioni tatu uwe na vyeti halali na uwe uliapply na kupata namba ya interview. unazo m tatu ? CRDB uwe na vyeti na hongo sina cotact ya muhusika. Taja pengine nikuunganishe kwa pm.

Mkuu na mm nataka namba
 
ndo mana wanaoajiriwa TRA wanaomba rushwa njenje hasa pale mayfair plaza PCCB sioni umuhmu wake zaidi ya kutetea mafisadi, ndo mana wanaoajiriwa UHAMIAJI wanaingza wahamiaji haramu, ndo mana POLISI wananuka rushwa, ndo mana MABENKI yetu michoro ya wizi haiishi BZ hao wote ni PRODUCTS ZA RUSHWA...........

Hahaa mtu anafidia alichohonga,yan TRA kila mtu maisha bora,wakati mwingine anamzidi haja BOT
 
kuna dada mmoja aliombwa uroda akakataa basi kwenye usahili jamaa akamfelisha makusudi, PCCB wako wapi?au hawasikii hivi vilio? Exim bank ni tsh 300,000 kama unataka mjini na 150,000 mikoani
 
Duuuh watoto wa mkulima kazi tunayo tutasugua gaga hadi jamani jamani jamani njooeni mtaani watu mwaka wa 3,4 mpaka 5 tukiingia mtaani hakika mtajua tuu
life goes on
 
kuna dada mmoja aliombwa uroda akakataa basi kwenye usahili jamaa akamfelisha makusudi, PCCB wako wapi?au hawasikii hivi vilio? Exim bank ni tsh 300,000 kama unataka mjini na 150,000 mikoani
nipe mawasiliano ya mtu uyo anayeuza izo ajira apo exim
 
Ajira zinauzwa nje nje. Uhamiaji ni laki saba ukiutaka ni PM nikupe namba ukachukue kazi. uwe na vyeti halali. Upolisi laki nane mpaka milioni. sina namba ya muhusika.TRA ni milioni tatu uwe na vyeti halali na uwe uliapply na kupata namba ya interview. unazo m tatu ? CRDB uwe na vyeti na hongo sina cotact ya muhusika. Taja pengine nikuunganishe kwa pm.

Sio kweli mkuu hasa hapo polisi nna uhakika dogo kaingia mwaka jana bila hata shilingi mbovu wala hakushikwa mkono na yeyote.
 
Jamani naombeni mnisaidie TRA niliapply na refference namba nilitumiwa ila nashindwa pakuanzia na million 3 sina. NIFANYEJE WADAU?
 
Back
Top Bottom