Nguchiro
JF-Expert Member
- Nov 23, 2009
- 364
- 31
Members juzi jumatano nimeomba nafasi ya kazi moja iliyotangazwa humu humu katika hii forum iliyokuwa inatutaka kutuma CV na passport size picture funny enough leo asubuhi mtu from the same company ananitumia message akidai nimforwadie 30,000/= katika tigo pesa au m-pesa leo ili anitumie maswali ya interview pia nikipata ajira nigawane nae salary ya kwanza, sija-react yet ila nawashukuru wale wote wenye juhudi ya kutupa update ya nafasi mbalimbali za kazi ila hawa personel wa kampuni husika wanaharibu majina ya kampuni zao kwa tamaa zisizo na tija, kama tumeomba watu 1000 au zaidi na wote tumetumiwa message hii, halafu watu wakadonate kwa upendo hizo 30,000/= tujiulize huyo mtu anapata Tsh ngapi?cha kuchekesha zaidi nafasi inayoombwa ni moja, watu wana shida wengine mnatake advantage ya udhaifu wao japo inakatazwa kutukana humu ndani ila some people are ----ing bastards kwa kweli. Nawasilisha.