Rushwa [corruption]

chris n

Member
Apr 1, 2012
59
19
Wana JF naomba kufahamu, ni nani anaekuLa rushwa zaidi kati ya makundi haya; Polisi, TANROAD, Mahakama, Kamati za zabuni, Wasimamizi wa miradi ya; na Barabara za halimashauri, na Tanesco na Maliasili. Je taarifa ya TLHR ya 2012 imetenda haki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…