Rungu la Magufuli, TRA latua Azam.

Status
Not open for further replies.

singidadodoma

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
4,394
1,536
20160404_044337.jpg


kuna wafanyabiashara walikuwa hawagusiki ila kwa awamu ya tano watazidi kuisoma namba
 
Hii chuki ya awamu hii dhidi ya wafanyabiashara wakubwa sio health kabisa kwa uchumi wa taifa, no wonder hata bandarini kunazidi kudorora
 
"Hapa ni kwetu na nikifa nitaletwa kuzikwa Chato ...". Tunajua Rais anapenda kuona mambo yanakwenda ila sometimes anakuwa na mihemuko mikali kupitiliza. Hiyo statement haijakaa vizuri; tunajua kila mtu atakufa ila atazikwa wapi hilo ni suala la wosia; ni suala la kifamilia zaidi ya public. Au ndio ameshatoa mwelekeo kwa taifa mahali atakapopumzika baada ya safari hii? Nilimwona pia akitembelea makaburi ya familia akiwa na Odinga; ile ilitakiwa kuwa private sana badala ya kuwekwa hadharani ...
 
Hii chuki ya awamu hii dhidi ya wafanyabiashara wakubwa sio health kabisa kwa uchumi wa taifa, no wonder hata bandarini kunazidi kudorora
sio chuki, anafanya kazi kama inavyopaswa kufanywa, kama unafanya biashara lipa kodi, vinginevyo hatua zinachukuliwa
 
Hii chuki ya awamu hii dhidi ya wafanyabiashara wakubwa sio health kabisa kwa uchumi wa taifa, no wonder hata bandarini kunazidi kudorora
Akiwaacha wakwepe kodi napo mtakuja juu,mara aah rais anawaogopa, mara anawabeba wafanyabiashara na kuwabana walalahoi. Hakuna namna ndo hivyo tena inabidi walipe tu.
 
Tunasifia jinsi nchi inavyojizika yenyewe.
mpaka sasa shehena za mizigo zimepungua Bandarini kwa asilimia 50 ,halafu wewe unashangilia?

hivi unajua matajiri wakubwa wanalipa mabilioni ya kodi?

kwanini serikali asiendelee kuwawekea mazingira rafiki wafanya biashara ili kuwavutia wengi kuwekeza Tanzania?

Nyie washangiliaji ndio mnampoteza magufuli badala ya kumsaidia
 
"Hapa ni kwetu na nikifa nitaletwa kuzikwa Chato ...". Tunajua Rais anapenda kuona mambo yanakwenda ila sometimes anakuwa na mihemuko mikali kupitiliza. Hiyo statement haijakaa vizuri; tunajua kila mtu atakufa ila atazikwa wapi hilo ni suala la wosia; ni suala la kifamilia zaidi ya public. Au ndio ameshatoa mwelekeo kwa taifa mahali atakapopumzika baada ya safari hii? Nilimwona pia akitembelea makaburi ya familia akiwa na Odinga; ile ilitakiwa kuwa private sana badala ya kuwekwa hadharani ...
Naona unachukulia kila kitu very serious.Neno kwa neno.Linakukereketa mpaka basi .Duuh wabongoooooooooooooo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom