Ruge vs Mengi

Status
Not open for further replies.
Hapana tuangalie maeneo waliyo zaliwa
Maeneo ya kuzaliwa sio hoja mbele za mungu ila umefanya nini kwenye jamii.ÝESU amezaliwa kwenye hori la ng'ombe lakini ameukomboa ulimwengu bila kutumia silaha.Nyerere amezaliwa Butiama lakini umaarufu wake hauna kifani.Mengi amezaliwa Machame amelala na mbuzi lakini ni maarufu.Ruge amezaliwa Broklyn naye ameleta makubwa.
Kuna watu wanadhani kuzaliwa nje ya nchi sio kijijini kwao ni sifa tunawajua hawa wapenda sifa.
Ni sawa na watu wawili waligongwa na gari mmoja anatamba amegongwa na gari la raisi anamcheka aliyegongwa na mkokoteni ila wote majeruhi wako ward moja
 
Mambo ya Imani yako acha huko huko kwenu..Yesu kamkomboa nani kafanya yapi makubwa hapa duniani?Kama kashindwa kuvumbua umeme na aliye vumbua tusemeje?
 
Aah kivipi? Sikuuona!
 
Jamii unayoiongelea ni JAMII ya DAR ES SALAAM tu au Jamiii ya TAIFA ZIMA?? Ukitaka kujua Muitikio subiri MWILI utue nchini alafu funga safari Twende MOSHI uone balaaa lake.

RUGE hakutikisa Nchi basi tu vyombo vya habari viliukuza msiba ila Huu MSIBA wa MENGI ni mkubwa na Muitikio wake utauona MSIBANI acha kbsa HILI ni pigo.
 
Usimfananishe mengi na hao wanao support wanyoa viduku!
Ubalozi wa marekani wenyewe umetuma Salam za pole kwa familia ya mengi

Ova
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…