Rufaa ya Godbless Lema

​vipi lusinde na mwigulu ni waadilifu sana ndani ya chama chenu du mna kazi
 
Kweli huu ni mwezi wa haki, Janualy mpaka December watu tungeishi hivi basi ingekuwa raha mustarehe bila kujali suluba za maisha haya mabovu tunayoishi.
 

Mkuu ni Ngongo mara nyingi nimemsoma yupo objective, lakini huyo kwenye red mmhhhh!!!!!
 
Last edited by a moderator:

nimeipenda hii
 

Good analysis at last! Tutashinda kesi na Lema atarudi bungeni!
 
Vyovyote iwavyo ni faida kwa CDM, akishinda ni vizuri hasiposhinda kitu ya M4C itaendelea kwa kasi zaidi.
 
Ngongo pamoja na kutofautiana na lema leo umenionyesha ukomavu wa siasa na sheria.
Hongera kwa hilo na je unafikiri ikulu iliingilia kesi ya lema kama alivyodai.
 

Nimekusoma mkuu.
 
LAKINI NI LINI ITASIKILIZWA?
:yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…