Yaani kila mwezi maafisa utumishi wanatakiwa kutuma majina ya mishahara kabla ya tar 5 ili upate mshahara wa mwezi huo sasa kama yakichelewa majibu ya rufaa na mwezi wa sita hautapata mshahara tena
Khaa! Pole ndugu, ila baada ya hapa, mshahara ukianza kuingia tena utakuwa mtunza akiba mzuri sana... Nadhani utakuwa umejua umuhimu wa kuweka akiba for uncertainties kama hizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.