Rufaa vyeti feki/utata hadharani

Listi hiyo
 

Attachments


Mkuu naona imetoka orodha yenye utata, ya kugushi bado haijatoka.... hujasikia fununu yenyewe inaweza kutoka lini?
 
Mkuu naona imetoka orodha yenye utata, ya kugushi bado haijatoka.... hujasikia fununu yenyewe inaweza kutoka lini?
sikuwa hwani mkuu mambo ya umeme,kwa kuwa nilikuwa sijayaona nilidhani zimeshughulikiwa zote kwa pamoja
 
sikuwa hwani mkuu mambo ya umeme,kwa kuwa nilikuwa sijayaona nilidhani zimeshughulikiwa zote kwa pamoja

Naona imetoka moja, hujapata fununu hiyo nyingine wanaweza kutoa lini.

Maana wote si inabidi kuwahi payroll hii ya mwezi wa saba mkuu
 
Naona imetoka moja, hujapata fununu hiyo nyingine wanaweza kutoa lini.

Maana wote si inabidi kuwahi payroll hii ya mwezi wa saba mkuu
bado sijapata mkuu ikipatikana ntakutafuta ,pole sana rafiki manake kadhia hii inaumiza
 
mkuu hii wizara ya utumishi ni bure kabisa,wamenihalalisha sehemu ambayo sina mshahara ,halmashauri yenye mshahara imeambiwa iniondoe kwenye utumishi ,ngoma bado mbichi kwani afisa utumishi wangu anasema hawezi kunishughulikia kwenye mfumo
Wapewe haki zao zote toka waliposimamishwa hadi sasa.
 
Reactions: BAK
Pole sana Mkuu huko Serikalini kumejaa uozo mwanzo mwisho.

mkuu hii wizara ya utumishi ni bure kabisa,wamenihalalisha sehemu ambayo sina mshahara ,halmashauri yenye mshahara imeambiwa iniondoe kwenye utumishi ,ngoma bado mbichi kwani afisa utumishi wangu anasema hawezi kunishughulikia kwenye mfumo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…