Wizara ya utumishi imetoa maelekezo kwaa maafisa utumishi kuhakikisha waatumishi wote ambao wamekutwa hawana hatia baada ya kukata rufaa kufuatia kadhia ya vyeti vyenye utata na vyeti feki wanarudishwa kwenye payroll ya mwezi wa saba haraka kabla haijafungwa.Nimejaribu kutafuta hayo majina bila mafanikio.
Naomba mwenye List ya hao wahanga atusaidie tafadhali
Wizara ya utumishi imetoa maelekezo kwaa maafisa utumishi kuhakikisha waatumishi wote ambao wamekutwa hawana hatia baada ya kukata rufaa kufuatia kadhia ya vyeti vyenye utata na vyeti feki wanarudishwa kwenye payroll ya mwezi wa saba haraka kabla haijafungwa.Nimejaribu kutafuta hayo majina bila mafanikio.
Naomba mwenye List ya hao wahanga atusaidie tafadhali
mkuu hii wizara ya utumishi ni bure kabisa,wamenihalalisha sehemu ambayo sina mshahara ,halmashauri yenye mshahara imeambiwa iniondoe kwenye utumishi ,ngoma bado mbichi kwani afisa utumishi wangu anasema hawezi kunishughulikia kwenye mfumo
mkuu hii wizara ya utumishi ni bure kabisa,wamenihalalisha sehemu ambayo sina mshahara ,halmashauri yenye mshahara imeambiwa iniondoe kwenye utumishi ,ngoma bado mbichi kwani afisa utumishi wangu anasema hawezi kunishughulikia kwenye mfumo