naamini hakuna kiumbe chochote kilicho perfect 100% ila MUNGU pekee.. kwa hili baraza la mtihani Tanzania (NECTA) wameamua kutuongezea utata.. sidhani na sitaamini kama kuna ukweli katika hizi rufaa.. ninachoona ni copy & pest ya matokeo yale yale..
katika awamu zote tulizotawaliwa na ccm hii ya 4 ni kal kuliko zote...... mpaka najiuliza hivy waombolezaji wako wapi inamaa hatukumuomba mungu atupe kiongozi mwenye busara na akili jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.