Kapo Jr
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 1,000
- 292
Wakuu,
Ingekua vyema tuorodheshe majimbo yaliyokatiwa rufaa baada ya uchaguzi wa okt.25, ni idadi kubwa ya wabunge wa CCM ktk majimbo 264, je wameshinda halali na wale wa CHADEMA/ UKAWA wameridhika? Mfano jimbo la Nyamagana/Ilemela-wenje na kiwia wamekata rufaa!
Tajeni majimbo mengine
Ingekua vyema tuorodheshe majimbo yaliyokatiwa rufaa baada ya uchaguzi wa okt.25, ni idadi kubwa ya wabunge wa CCM ktk majimbo 264, je wameshinda halali na wale wa CHADEMA/ UKAWA wameridhika? Mfano jimbo la Nyamagana/Ilemela-wenje na kiwia wamekata rufaa!
Tajeni majimbo mengine