Rufaa katika chaguzi

SIGISIBERT

Member
Joined
Nov 21, 2012
Posts
17
Reaction score
1
Kuna umuhimu gani wa sisi raia wa kawaida(sio wanasiasa) tukapewa mamlaka ya kwenda kukata rufaa kwa wagombea mbalimbali ambayo tunasababisha gharama nyingine zisizo za msingi kwa taifa letu wakati huku bado ndugu zetu wakiendelea kupata matatizo mbalimbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…