james chapacha
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 939
- 200
Kupitia safari redio mtwara,RPC huyo alisikika akitoa tahadhari kwa wananchi wenye hasira kali dhidi ya mustakabali wa suala la gesi na nia ya serikali kwa maeendeleo ya watu wa kusini,
Licha ya serikali kutumia gharama nyingi kuendesha kipindi cha BARAGUMU LA MSIMBATI kupitia kituo chake cha habari cha TBCCM ambacho katika kipindi hiki ni kama nyenzo ya kutoa elimu kwa wananchi wa tanzania hususani KUSINI wananchi hao wameonekana kutoelewa na kutokubaliana moja kwa moja na serikali....
Wananchi manispaa ya Mtwara Mikindani wameaswa kununua mahitaji yao ya umuhim na kuweka ndani kwa siku ya leo kwani kwa siku ya kesho huduma za kijamii zitasimama ama zisipatikane moja kwa moja,kuna uwezekano mkubwa wa maduka mbali mbali ya vyakula,masoko,usafiri wa umma kama dala dala,boda boda na bajaji zikasitisha huduma kutokana na TAMKO la wanaharakati na wakereketwa wa gesi na mustakabali wa mtwara na kusini ya kwamba huduma hizo kesho zisimame na watu wawe macho kufuatilia mjadala wa hotuba ya waziri wa nishati na madini BUNGENI na iwapo hawataona la maana kwenye hotuba hiyo basi wataamua lao la kufanya...
Wanamshangaa RPC kukimbilia SAFARI RADIO kutoa tamko hilo kwani wao hawajapanga kufanya vurugu za aina yoyote zaid ya kuonesha tuh passive resistance...
Wanasema kwa kuwa serikali ya CCM imeamua kutumia ubabe basi na wao wataonesha ya upande wao kwa MASLAHI YA VIZAZI VYAO VIJAVYO...
STAY TUNED HAPO KESHO...!!
Mmmmmmm? Sasa wanaipiku Arusha?
kama nimemuelewa sawasawa THE BIG SHOW ni kuwa kesho ni Passive resistance ( kwa tafsiri yangu ni "mgomo") hakuna huduma za kijamii usafiri na kadhalika. Wewe hayo maandamano yanatoka wapi ?
Kupitia safari redio mtwara,RPC huyo alisikika akitoa tahadhari kwa wananchi wenye hasira kali dhidi ya mustakabali wa suala la gesi na nia ya serikali kwa maeendeleo ya watu wa kusini,
Licha ya serikali kutumia gharama nyingi kuendesha kipindi cha BARAGUMU LA MSIMBATI kupitia kituo chake cha habari cha TBCCM ambacho katika kipindi hiki ni kama nyenzo ya kutoa elimu kwa wananchi wa tanzania hususani KUSINI wananchi hao wameonekana kutoelewa na kutokubaliana moja kwa moja na serikali....
Wananchi manispaa ya Mtwara Mikindani wameaswa kununua mahitaji yao ya umuhim na kuweka ndani kwa siku ya leo kwani kwa siku ya kesho huduma za kijamii zitasimama ama zisipatikane moja kwa moja,kuna uwezekano mkubwa wa maduka mbali mbali ya vyakula,masoko,usafiri wa umma kama dala dala,boda boda na bajaji zikasitisha huduma kutokana na TAMKO la wanaharakati na wakereketwa wa gesi na mustakabali wa mtwara na kusini ya kwamba huduma hizo kesho zisimame na watu wawe macho kufuatilia mjadala wa hotuba ya waziri wa nishati na madini BUNGENI na iwapo hawataona la maana kwenye hotuba hiyo basi wataamua lao la kufanya...
Wanamshangaa RPC kukimbilia SAFARI RADIO kutoa tamko hilo kwani wao hawajapanga kufanya vurugu za aina yoyote zaid ya kuonesha tuh passive resistance...
Wanasema kwa kuwa serikali ya CCM imeamua kutumia ubabe basi na wao wataonesha ya upande wao kwa MASLAHI YA VIZAZI VYAO VIJAVYO...
STAY TUNED HAPO KESHO...!!
...and the Saga continues...
kwa hiyo heshima ni kuwaua raia wanaodai haki zao?Khaa!! Safi RPC ndiyo kazi yako kutuliza fujo. Usiache siafu wakupande hadi sehemu mbaya. Wasigine huko chini kwenye mabuti. Hii nchi yetu sote. Rasilimali zitumike kwa sehemu zote. Kama bado hawaelewi hilo na hawataki kueleweshwa kwa kuwa wameleweshwa na wanasiasa wapenda madaraka kwa kutumia vurugu wasigine tuu jeshi lako lianze kuheshimiwa.
Nchi hii kwa mipango!......Wananchi wanajipanga na Polisi nao wanajipanga.....Watawala nao "wanajipangia"
Kupitia safari redio
mtwara,RPC huyo alisikika akitoa tahadhari kwa wananchi wenye hasira
kali dhidi ya mustakabali wa suala la gesi na nia ya serikali kwa
maeendeleo ya watu wa kusini,
Licha ya serikali kutumia gharama nyingi kuendesha kipindi cha BARAGUMU
LA MSIMBATI kupitia kituo chake cha habari cha TBCCM ambacho katika
kipindi hiki ni kama nyenzo ya kutoa elimu kwa wananchi wa tanzania
hususani KUSINI wananchi hao wameonekana kutoelewa na kutokubaliana moja
kwa moja na serikali....
Wananchi manispaa ya Mtwara Mikindani wameaswa kununua mahitaji yao ya
umuhim na kuweka ndani kwa siku ya leo kwani kwa siku ya kesho huduma za
kijamii zitasimama ama zisipatikane moja kwa moja,kuna uwezekano mkubwa
wa maduka mbali mbali ya vyakula,masoko,usafiri wa umma kama dala
dala,boda boda na bajaji zikasitisha huduma kutokana na TAMKO la
wanaharakati na wakereketwa wa gesi na mustakabali wa mtwara na kusini
ya kwamba huduma hizo kesho zisimame na watu wawe macho kufuatilia
mjadala wa hotuba ya waziri wa nishati na madini BUNGENI na iwapo
hawataona la maana kwenye hotuba hiyo basi wataamua lao la kufanya...
Wanamshangaa RPC kukimbilia SAFARI RADIO kutoa tamko hilo kwani wao
hawajapanga kufanya vurugu za aina yoyote zaid ya kuonesha tuh passive
resistance...
Wanasema kwa kuwa serikali ya CCM imeamua kutumia ubabe basi na wao
wataonesha ya upande wao kwa MASLAHI YA VIZAZI VYAO VIJAVYO...
STAY TUNED HAPO KESHO...!!
ngoja nikakate tket kesho nikaongeze nguvu kwa wana kusini
Ndugu zangu vurugu na fujo sio suluhisho ya matatizo yetu, tunatakiwa kufikiri kabla ya kutenda
Acha ujinga wewe! tena kwa namna ulivyoandika kishabiki,inaelekea wewe ndio unayesambaza vipeperushi vya uchochezi! watu wakijeruhiwa au kuuana we unapata faida gani! Basi ukae mbele kabisa ktk maandamano hayo sio kwenye laptop eboo!
Umeiona pm yangu mkuu?
Siku zote ubabe hauwezi saidia kutatua mgogoro, njia sahihi ni kusikiliza kilio cha wana Mtwara na kukifanyia kazi na hapo gesi itaondoka kirahisi.
Kinyume cha hapo ni hujuma kila siku katika bomba lenyewe.
Hongera wana Mtwara.