Shombe la Kisomali japo umefuta comment yako lakini nakujibu..
Router ni device ambayo inasaidia kufanya routing ya data(internet) ili ziigie kwenye device nyingine..
Zitoke kwenye modem ziingie kwenye switch ziingie kwenye router.. router inaanza kuzipitisha ziingie kwenye laptop, desktop,simu, printer