Denis Anointed
New Member
- Sep 14, 2017
- 1
- 0
Najaribu ku-root Android 7 bila kutumia pc na inaniletea shida. Msaada katika tuta.
android 6.0 na kuendelea bila pc sidhani kama utaweza maana ina security kubwa kidogoNajaribu ku-root Android 7 bila kutumia pc na inaniletea shida. Msaada katika tuta.
Inabidi uwe specific kidogo maana simu tofauti mara nyingine huwa na njia tofauti za kuroot hata kama ni android version moja, ungeongezea labda ni simu ya aina gani na model yake ingekuwa rahisi zaidiNajaribu ku-root Android 7 bila kutumia pc na inaniletea shida. Msaada katika tuta.