Ni wazo zuri kabisa wala haujakosea..., bali cha kufanya ni bora ukapata mtu unayemjua / rafiki yako..., nchi za watu wanafanya sana hii kitu ukizingatia wewe ni mtu wa kusafiri.., kuna watu ughaibuni mtu anapiga shift usiku mwingine mchana kwahio kitanda kimoja ni mwendo wa kulala kwa shift..., so long as its a means to an end na mnajua mnachokifanya, hili suala la kujisifu una room yako kwa kumtajilisha mwenye nyumba wakati wewe unafiliska sio good idea....