Ronaldinho Gaúcho - el triple barret

Kwa kweli hatatokea kama Gaucho.Nilikuwa simpendi kwa uwezo wake lakini nilikuwa namkubali.Simetimes nilkuwa namshangilia hata akicheza na timu yangu...
 
Alipohamia AC nikajikuta ninatazama Mechi za AC Milan, ikawa akitoka dakika za 70 au 80 na mimi nazima TV naenda chumbani kupumzika. Ronaldinho Gaucho, kijana pekee aliyependwa na kila mtu, hata madridista walimpenda, mpaka mashabiki wa EPL walimkubali sana kutokana na mbwembwe zake uwanjani na kucheka kwake.

Libarikiwe tumbo lililomleta LIONEL ANDRES MESSI DUNIANI, huyu mtoto hana mbwembwe wala sio mtu wa show off na hanaga mzaha uwanjani kama Gaucho na hii ndio sababu pekee mashabiki wa EPL wakisikia Jina la Messi lazima washikwe na hasira.

Lionel Messi, mtu pekee awezaye kuyafanya matokeo ya mechi yakae mguuni pake wa kushoto.
 
Aliufanya mchezo wa soka uonekane mwepesi sana. Nashukuru Mungu nimeishi zama za Gauchi na Messi.
Kabisa Mkuu, zama hizi ni zama tamu sana. Zama ambazo Messi tunamshuhudia anaweka mipira wavuni vile apendavyo yeye, haangalii uzito wa mabeki wala makipa, anafanya vile atakavyo yeye. Bernabeu na Etihad wanajua habari za huyu mtu.
 
dinho alikua anafanya vitu najitahidi kuweka slow motion lakin bado sielewi ananyanyuaje mpira aiseee
 
Kabisa Mkuu, zama hizi ni zama tamu sana. Zama ambazo Messi tunamshuhudia anaweka mipira wavuni vile apendavyo yeye, haangalii uzito wa mabeki wala makipa, anafanya vile atakavyo yeye. Bernabeu na Etihad wanajua habari za huyu mtu.

Hakunaga na hatatokea like The Leo King katika dunia ya SOCCER.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom