Mmmmmmm....sie tutajuaje na hatumo ktk mioyo yao? je kama aliona isilete shida nae akaingizwa kwenye porojo?
Ila jua Wema na Romy huwa bado wanaongea hadi leo. Inajulikana hiyo wakikutana hawanuniani.
Huyo mama Chibu anasahau mwanae kafikaje alipo, ni bora wamuondoe kwenye mitandao, wamtafutie bwana wa kumpa raha...wivu umezidi juu ya mwanae na mkewe.