Nitamwambia sina pesa, nitamtoa out mpaka kibanda cha mama ntilie. Nitamwambia tule mkate na maharage. Nitampatia mkate, pindi akianza kula atapata na mshangao baada ya kuona brand new Toyota camry key ndani ya silesi ya mkate. Hivi ndivyo nimepanga kumfanyia mpenzi wangu.
Wewe?
Unaota au?wewe mwenyewe una miliki nini?
Nakushauri hiyo hela uliyonunulia camry suzuku uza upate uwanja na tofali za kuanzia ujenzi
HII SIYO KARNE YA KUWEKEZA KWENYE MAPENZI
Muulize mwenzio mushi kilichomkuta
mwekundu acha hizo mambo bwana,wote tukijenga nani atakuwa mpangaji?Unaota au?wewe mwenyewe una miliki nini?
Nakushauri hiyo hela uliyonunulia camry suzuku uza upate uwanja na tofali za kuanzia ujenzi
HII SIYO KARNE YA KUWEKEZA KWENYE MAPENZI
Muulize mwenzio mushi kilichomkuta
X mass zamazi bana..... siku hizi chenga tu.. Mapenzi yenyewe yako wapi???????...
mi nitajitahidi mshawishi tutubu madhambi na tuhudhurie ibada,,,, nafkiri itakua zawadi kubwa sana......
Alafu una akili sana wewe,ndo mana nakupenda...mwaaaaa
Unaota au?wewe mwenyewe una miliki nini?
Nakushauri hiyo hela uliyonunulia camry suzuku uza upate uwanja na tofali za kuanzia ujenzi
HII SIYO KARNE YA KUWEKEZA KWENYE MAPENZI
Muulize mwenzio mushi kilichomkuta
lol... First time im being mwaaed at MMU...
...im pumziless
mbona mi naku mwaaed sana tu au kwa sababu
sijawahi kukwambia LOL
ohh..!! Huu mwaka waisha vyema..
Zawadi ya mwaa toka kwako
pia..
Nanenepa ghafla.. Thanxx.
...mmwaaaahhh to U..