Roma kwawaka moto!

Ubumuntu

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
14,387
Reaction score
10,965
Chanzo:Aljazeera TV. Jiji la Roma limekumbwa na machafuko kati ya polisi na waandamanaji wanaopinga ushindi wa waziri mkuu Berlusconi katika kura za kutokuwa na imani naye,alioupata bungeni. Waandamanaji wanampinga waziri mkuu huyo kwavile anahusishwa na biashara za kimafia.
 
Mafia connections. Waandamanaji wanahisi izo connections ndizo zimefanya Berlusconi ashinde ila kwa mbinde.
 
wakome maana alishinda kwa kura zao halali, wasubiri amalize muda wake
 
Ila sasa hivi kuko shwari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…