homeless1
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 427
- 950
Leo nipo tayari Simba afungwe hata 20-0 na Tp Mazembe lakini sio yanga kushinda au kufunga goal hata moja dhidi ya Rivers united
Nipo tayari kuona uwanja wa mkapa una watu buku lakin sio kuona Rivers anapoteza kwao.
Sisi wa Tanzania kwa muda mrefu tumekua wapenzi wa movie za Nigeria kwanini tusipende soka la Nigeria hakika yanga mkatoe angalau sare au kupoteza kabisa.
Msijali katika hili kwani Simba Sc,Azama Fc na Biashara zitawabeba tena msimu ujao kwa mara nyingine tena mana nyie ndio team pekee isiokua na shukrani Tanzania hii.
Yanga Sc endeleen kuwekeza nje ya uwanja na kua na watu nje ya uwanja na kusajiri watu kama manara lakini ndani ya uwanja mue hivyo hivyo ( hivyoje ni hivyo hivyo).
Najua mnaombea Mazembe atufunge na nyie mshinde goli zaid ya moja ila nawakumbusha kuwa mtaka vyote kwa pupa hukosa vyote yani mnaweza fungwa leo na Simba akashinda.
NB; LIGI KUU ITAANZA YANGA AKIWA KATOLEWA MASHINDANO YA KIMATAIFA NA KUA TEAM PEKEE TOKA TANZANIA ILIO LILETEA TAIFA AIBU NA TANZANIA KUBAKI NA WAWAKILISHI WATATU WANAOSTAHILI KIMATAIFA
Nipo tayari kuona uwanja wa mkapa una watu buku lakin sio kuona Rivers anapoteza kwao.
Sisi wa Tanzania kwa muda mrefu tumekua wapenzi wa movie za Nigeria kwanini tusipende soka la Nigeria hakika yanga mkatoe angalau sare au kupoteza kabisa.
Msijali katika hili kwani Simba Sc,Azama Fc na Biashara zitawabeba tena msimu ujao kwa mara nyingine tena mana nyie ndio team pekee isiokua na shukrani Tanzania hii.
Yanga Sc endeleen kuwekeza nje ya uwanja na kua na watu nje ya uwanja na kusajiri watu kama manara lakini ndani ya uwanja mue hivyo hivyo ( hivyoje ni hivyo hivyo).
Najua mnaombea Mazembe atufunge na nyie mshinde goli zaid ya moja ila nawakumbusha kuwa mtaka vyote kwa pupa hukosa vyote yani mnaweza fungwa leo na Simba akashinda.
NB; LIGI KUU ITAANZA YANGA AKIWA KATOLEWA MASHINDANO YA KIMATAIFA NA KUA TEAM PEKEE TOKA TANZANIA ILIO LILETEA TAIFA AIBU NA TANZANIA KUBAKI NA WAWAKILISHI WATATU WANAOSTAHILI KIMATAIFA