Sasa kuvunja kioo cha gari na kuchelewa vinauhusiano gani? Alipovunja ndio alipata mwafaka ulikua wapi au why umechelewa? Kumlipisha ni ngumu mkuu cha kufanya ni kukaa nae chini uongee nae aache ujinga
hasira zingine ni ujinga. Kaa kimya usimsemeshe mwambie neno moja tuu, " nataka urudishe kioo cha gari langu"
hivi sisi wanawake tuna hasira gani? Umevunja kioo afu unataka hela ya kwenda shoping? Ukumbuki ada ya watoto itatoka wap? Ni ujinga. Lowasa aapishwe elimu itolewe kuokoa jahazi
Mmi hawez vunja, hapo ndo msara sasa, inawezekana umefanya kosa hata ww umeona kwamba umekosea ndi maana hujachukua hatua, maana hujatwambia sabab ya yeye kivunja kiooo
hebu andika vizuri kwanza.
amekosea angevunja meno yako ama jicho ungejua cha kufanya.
muda mwingine mna majibu ya ajabu sana.mke nae ana hasira za kizungu.