Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,254
- 34,205
Pia inawezekana hiyo kununa na hivyo vimbwanga anakupima. Mweleze kwa utaratibu akizingua jua kabisa ukileta democrasia kwa wanawake wa kiafrika jiandae kuvuna mabua.Poleni na majukumu wakuu,
NAHITAJI ushauri wenu Kwa hili..,Mimi nipo na mrembo wangu kwa muda Sasa alienivumilia kwa mengi na tumedumu karibun miaka miwili.ni msichana alienipenda kwa dhati na Hilo nilidhihirisha baada ya kunikuta Sina mbele Wala nyuma lakin hakujali, na hata ingetokea nina shida akajua
Wewe ndo ulisababisha Kwa kuonyesha uhalisia wakoIliwahi kunikuta hiyo, nilipokuwa choka mbaya mwanamke alinipenda na kunipa kampani sana ya kimaisha ila baada ya kuanza kushika visenti tu akaacha kabisa upendo kwangu.
Mpaka leo sielewi nini kilisababisha.
Kasema Hana mahusiano mengineIna maana una mahusiano mengine ila sio serious sio??
Turudi kwa huyo mwanamke...
1. Kwanza ana wasiwasi juu ya future yake.
2. Wewe kama mwanaume unaonekana uko so soft na huaminiki (kama ulivyo sema una mahusiano mengine lakin sio serious which means una vimchepuko..)
3. Huyo mwanamke anahitaji kwanza kumwelewesha kwa utulivu wa hali ya juu kuhusu hali halisi. Yani ukiweza mletee hata zawadi ya pipi ya shilingi mia then muombe kwa utulivu mwambie unaomba umpe zawadi. Baada ya kumpa zawadi then kaa mpe A to Z, mwambie huna mchepuko na yuko peke yake na una future nae.
Maana mpaka sasa hivyo vimbwanga ni dalili ya kuchokwa.
4. Ukiangalia kwa jicho la tatu kuna uwezekano mkubwa bidada kapata dume lingine lenye mapesa, limeanza kumtokea na kumtongoza.
Pia kuna uwezekano analikomalia LAKINI AKIKUANGALIA NI KAMA HUAMININIKI (wenda una michepuko kama ulivyo sema una mahusiano mengine lakin sio serios) sasa akiona huaminiki pili bado kiuchumi hauko vizuri alafu kuna kidume chenye mapesa kinamtongoza na bado marafiki zake wanamshawishi akuache maana pesa huna lazima aanze ku question future yake.
Yani hapa hata ule uvumilivu mdogo alio kuwa nao kwako unaanza kiyeyuka taratibu! Na ndio maana unaona anakuletea hivyo vimbwanga.
Hivyo vimbwanga vina maana yake haviji tu from no where!!
(Rudia vizuri kusoma hii point ya tatu na nne na uielewe).
NB: Uandishi wako ni kitoto sana jifunze uandishi bora.
Poleni na majukumu wakuu,
NAHITAJI ushauri wenu Kwa hili..,Mimi nipo na mrembo wangu kwa muda Sasa alienivumilia kwa mengi na tumedumu karibun miaka miwili.ni msichana alienipenda kwa dhati na Hilo nilidhihirisha baada ya kunikuta Sina mbele Wala nyuma lakin hakujali, na hata ingetokea nina shida akajua Basi Kama anauwezo wa ku cover Wala hakusita kunisaidia.nam n hivyo japo kwangu ilikua n kwa uchache sababu yeye(kwao) maisha yanaridhisha tofaut na Mimi binafsi & kwetu.Rafiki zake wengi walinijua maana baadh gheto alikua anakuja nao hata nimkataze kua ananiaibisha kutokana na jins kulivyo rafu lakn hakukoma ikabid nipoe,ikafika muda wakaanza kumsema abadilishe mwanaume me sio hadh yake Hadi sms nyng anakuja kunionyesha vile nasemwa vibaya ila tukadumu.
Kipind hicho me ni msakatonge haswaa lakn ndo hvyo Mambo hayaendi,ila kipindi hiki afadhal imeanza kuonekana angalau na ubize kidoqo umeonqezeka kwangu kwa hizihz mishe zetu za kigum.ghafla mgogoro na HUYU bibie umeanza akidai nmeanza kupat hela na dharau zimeanza kwake et najidai bize mda mwingi hata muda nae Sina hata anambie anataka kuja kwanqu Mara nyng namwambia nna kazi tunaghair hyo siku.
Ukweli upande wangu namuheshimu Sanaa na n Mara chache tunaonana Napo baadhi ya siku hata Kama nipo kwenye kibarua nalazimika nitoroke kwa ajil yake ili tu apunguze lawama,pia siwez Kila muda niwe nae maana kaz zetu hz usipoonekana kazn bas na chako huna n nguvu na akili yako ndo inakuingizia chochote,saiv amekua mtu wa kuninunia ugomvi Kila siku akidai hanielew itakuwa nmempata mwngne ninaemuheshimu kuliko yeye na sikumbuki tulipotoka na msaada wake siuon wa maana tena sababu nmeanza kujimudu angalau.. na ukwel mahusiano mengne yaliyo siriaz Sina Zaid ya kwake tu.
Nishaurin nifanyaje!!? Kwan hata nikimpigia kwa Sasa anakua na hasira anajbkua namu enjoy tu kinafki simpendi wakat c kwel(nampenda& namuheshimu)..Juzi nakutana na rafk ake ananichana et we shem mbona huna fadhila kwa shoga yangu wema wake umesahaulika!??
Mm inaniumiza Kwan pamoja na ubahr kwa huyu niliapa lazima ale matunda ya uvumilivu kwa jasho langu lakn hata nimfanyie hivyo bado naonekana najikosha.
Huyu mwanamke anaonekana hajiamini..hio ni hofu tu ya mwanamke anahisi utamkimbia kisa maisha yameanza kukunyookea. kipindi huna hela alijua kabisa huna ujanja huwezi kumkimbia coz unamuhitaji yeye kama provider.
kujitegemea kunamfanya mtu awe huru sio tena mtumwa wa mtu anaemsaidia kiuchumi. neno mtumwa sio zuri ila mkuu wewe ulikua kimtumwa chake ila kwa sasa upo huru na hana nguvu tena juu yako.
mimi nnachoona hapo ni kwamba mwanamke anahisi thamani yake kwako imeshuka coz hauhitaji tena msaada wake wa kiuchumi, upo independent and you can do whateva you want.
ila sasa kama unampenda kama unavyosema jitahidi uishi nae pamoja na ufanye taratibu za kwenda kujitambulisha kwao ili umpunguze presha maana ana presha kweli anaogopa kuibiwa tunda wakati tunda kalikuza mwenyewe
Umekaa ukamwambia hali halisi ww mwambie kwamba sasa mama mm napambana kwa ajiri yako tena kipindi umeshamto
Ukiwa job a nakutafuta kama ni mahali panafikika uwe una mwambia aje ili6akuone ulivyo busy ataridhika. Na hata yeye atakuwa ankaufuatilia. As far kweli umenyooka.Poleni na majukumu wakuu,
NAHITAJI ushauri wenu Kwa hili..,Mimi nipo na mrembo wangu kwa muda Sasa alienivumilia kwa mengi na tumedumu karibun miaka miwili.ni msichana alienipenda kwa dhati na Hilo nilidhihirisha baada ya kunikuta Sina mbele Wala nyuma lakin hakujali, na hata ingetokea nina shida akajua Basi Kama anauwezo wa ku cover Wala hakusita kunisaidia.nam n hivyo japo kwangu ilikua n kwa uchache sababu yeye(kwao) maisha yanaridhisha tofaut na Mimi binafsi & kwetu.Rafiki zake wengi walinijua maana baadh gheto alikua anakuja nao hata nimkataze kua ananiaibisha kutokana na jins kulivyo rafu lakn hakukoma ikabid nipoe,ikafika muda wakaanza kumsema abadilishe mwanaume me sio hadh yake Hadi sms nyng anakuja kunionyesha vile nasemwa vibaya ila tukadumu.
Kipind hicho me ni msakatonge haswaa lakn ndo hvyo Mambo hayaendi,ila kipindi hiki afadhal imeanza kuonekana angalau na ubize kidoqo umeonqezeka kwangu kwa hizihz mishe zetu za kigum.ghafla mgogoro na HUYU bibie umeanza akidai nmeanza kupat hela na dharau zimeanza kwake et najidai bize mda mwingi hata muda nae Sina hata anambie anataka kuja kwanqu Mara nyng namwambia nna kazi tunaghair hyo siku.
Ukweli upande wangu namuheshimu Sanaa na n Mara chache tunaonana Napo baadhi ya siku hata Kama nipo kwenye kibarua nalazimika nitoroke kwa ajil yake ili tu apunguze lawama,pia siwez Kila muda niwe nae maana kaz zetu hz usipoonekana kazn bas na chako huna n nguvu na akili yako ndo inakuingizia chochote,saiv amekua mtu wa kuninunia ugomvi Kila siku akidai hanielew itakuwa nmempata mwngne ninaemuheshimu kuliko yeye na sikumbuki tulipotoka na msaada wake siuon wa maana tena sababu nmeanza kujimudu angalau.. na ukwel mahusiano mengne yaliyo siriaz Sina Zaid ya kwake tu.
Nishaurin nifanyaje!!? Kwan hata nikimpigia kwa Sasa anakua na hasira anajbkua namu enjoy tu kinafki simpendi wakat c kwel(nampenda& namuheshimu)..Juzi nakutana na rafk ake ananichana et we shem mbona huna fadhila kwa shoga yangu wema wake umesahaulika!??
Mm inaniumiza Kwan pamoja na ubahr kwa huyu niliapa lazima ale matunda ya uvumilivu kwa jasho langu lakn hata nimfanyie hivyo bado naonekana najikosha.
Hapo mkuu mkalishe umwambie ratiba za mihangaiko yako na kama mna malengo yenu zaidi pinguzeni washauri hao ndio waharibifuPoleni na majukumu wakuu,
NAHITAJI ushauri wenu Kwa hili..,Mimi nipo na mrembo wangu kwa muda Sasa alienivumilia kwa mengi na tumedumu karibun miaka miwili.ni msichana alienipenda kwa dhati na Hilo nilidhihirisha baada ya kunikuta Sina mbele Wala nyuma lakin hakujali, na hata ingetokea nina shida akajua Basi Kama anauwezo wa ku cover Wala hakusita kunisaidia.nam n hivyo japo kwangu ilikua n kwa uchache sababu yeye(kwao) maisha yanaridhisha tofaut na Mimi binafsi & kwetu.Rafiki zake wengi walinijua maana baadh gheto alikua anakuja nao hata nimkataze kua ananiaibisha kutokana na jins kulivyo rafu lakn hakukoma ikabid nipoe,ikafika muda wakaanza kumsema abadilishe mwanaume me sio hadh yake Hadi sms nyng anakuja kunionyesha vile nasemwa vibaya ila tukadumu.
Kipind hicho me ni msakatonge haswaa lakn ndo hvyo Mambo hayaendi,ila kipindi hiki afadhal imeanza kuonekana angalau na ubize kidoqo umeonqezeka kwangu kwa hizihz mishe zetu za kigum.ghafla mgogoro na HUYU bibie umeanza akidai nmeanza kupat hela na dharau zimeanza kwake et najidai bize mda mwingi hata muda nae Sina hata anambie anataka kuja kwanqu Mara nyng namwambia nna kazi tunaghair hyo siku.
Ukweli upande wangu namuheshimu Sanaa na n Mara chache tunaonana Napo baadhi ya siku hata Kama nipo kwenye kibarua nalazimika nitoroke kwa ajil yake ili tu apunguze lawama,pia siwez Kila muda niwe nae maana kaz zetu hz usipoonekana kazn bas na chako huna n nguvu na akili yako ndo inakuingizia chochote,saiv amekua mtu wa kuninunia ugomvi Kila siku akidai hanielew itakuwa nmempata mwngne ninaemuheshimu kuliko yeye na sikumbuki tulipotoka na msaada wake siuon wa maana tena sababu nmeanza kujimudu angalau.. na ukwel mahusiano mengne yaliyo siriaz Sina Zaid ya kwake tu.
Nishaurin nifanyaje!!? Kwan hata nikimpigia kwa Sasa anakua na hasira anajbkua namu enjoy tu kinafki simpendi wakat c kwel(nampenda& namuheshimu)..Juzi nakutana na rafk ake ananichana et we shem mbona huna fadhila kwa shoga yangu wema wake umesahaulika!??
Mm inaniumiza Kwan pamoja na ubahr kwa huyu niliapa lazima ale matunda ya uvumilivu kwa jasho langu lakn hata nimfanyie hivyo bado naonekana najikosha.
Kama anajua kila kitu basi huenda kulalamika ni hulka yakeAnajua Kila kitu