Roho imeniuma sana

Asubuhi ulimkumbusha?? Maana communication ndio kila kitu. Ungemwambia halafu akaushe ndo useme. Next time ukimfuata mtu ambaye sio mume wako wa ndoa hakikisha una nauli.
 
Vipi mzigo ulimpa au hakuridhishwa na game lako

great thinker
 
Huyo mwanaume mwenzang ni wa ajabu...mchungu na selfish hawa ndo wale wanaacha hela ya matumizi halafu anakuambia chenchi itabaki 500 niikute
 
Pole sana, achana na wanaume wasiokuwa na hela
 
Asubuhi ulimkumbusha?? Maana communication ndio kila kitu. Ungemwambia halafu akaushe ndo useme. Next time ukimfuata mtu ambaye sio mume wako wa ndoa hakikisha una nauli.

Yaani mwanaume nae hajiongezi? Kaona mpenzi kaja bila hata mkoba nae haulizi nauli unayo mpenzi?
 
Mama pita kwenda kwa mpenzi= No marriage.

No marriage with son = Single mother.

Aisee pole sana, tafta maisha yako achana na huyo jamaa atakuja kukuliza tu.
 
Aisee nPM sehem ulipo nije nkuchukue au ntumie namb nkutigo pesa!! Pole sana mrembo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…