Roho imeniuma sana

Anataka ajue kama unampenda bila pesa kua mpole

rap beast
 
Ww unaenda kumuona mgonjwa bila hata 100? Dah! wanaume inatakiwa tuige tabia ya huyu jamaa yaan kapinda kwa kukomesha akarudia had jero huo ndo uanaume maana utaendaj kumuona mpenzio bila pesa ww?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wanawapa miili yako wanaume wasiostahili kabisa.
Mapenzi upofu best, mama pita anampenda jamaa yake, sema tuu huyo jamaa hajitambui unadhani angempa hiyo pesa ya nauli let say hata 2000 tuu mama pita angeridhika asingelalamika jamani
 
Mapenzi upofu best, mama pita anampenda jamaa yake, sema tuu huyo jamaa hajitambui unadhani angempa hiyo pesa ya nauli let say hata 2000 tuu mama pita angeridhika asingelalamika jamani
Kweli kabisa.
 
Hahahahah yaani umenichekesha hiyo reactions!! kuna mambo yanakera mno,mie ningechukua tv nikauze nipate nauli chaaa so kwa dharau hizii.
Umeonaa shogaa eeeh ikutee usiku kamtumia ipasavyo afu ndo asubuhi linaondoka kama kondoo yaan asingeamini


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado hata hilo ni jaribio, ukifaulu tunakula mpunga soon
 
Pole sana, chukua tu ustaarabu wako jamaa hakupendi. Halafu kuna mahali umeruka, mlikula tunda usiku? Nahisi jamaa alikuita anataka tunda sasa akaona akikwambia direct hutokwenda.

Mkuu ulikuwa na Mawazo kama ya kwangu.
 
aaah ww bwana kwanza sioni cha kukushauri zaid ya kukushangaa khaaaaaaaaaaaah unaishi zama gani mama pita
 
Ila wanawake wanakutana na mitihani sana katika huu uso wa dunia, mpaka kuja kuolewa na kutulia akila matunda ya ndoa...

Pole sana mama Pita, Pita na babake wanajua haya maswahibu yanayokupata kweli?
 
Du!! Nimejisikitikia tu..maana hata mswaki sikupiga sababu niusahau nyumbani kwahiyo chai nilienda kunywa nyumban na mswaki nilienda kupigia nyumban....na usiku alinila vi3
 
Du!! Nimejisikitikia tu..maana hata mswaki sikupiga sababu niusahau nyumbani kwahiyo chai nilienda kunywa nyumban na mswaki nilienda kupigia nyumban....na usiku alinila vi3
next time akikuita mkomoe umpe TIGO tu ili aache ujinga wake. By the way naomba namba yako maana wewe ni gelfrendi matirio unaweza nifaa mimi.
 
Ungebeba sound system,mngeheshimiana tu!
 
Pole,sasa unalala kwake kwani mmefunga ndoa,au alikuwa anaogopa kulala peke yake ukamuonea huruma!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…